Hahahahaha mi SI mzaramoZote za kuokoteza bila shaka wewe mzaramo kulima ndio shida
Dar siioni nilikula iringaIpo mkuu telee kipindi hiki
mkuu ngowani na uyoga sio mboga moja?Pitiku
Lidelele
Ngowani
Mfusulela
Chikandi
Kinjunga
Uyoga
Tofauti, uyoga uliochemshwa na ukaanikwa ndo ngowani.mkuu ngowani na uyoga sio mboga moja?
Figiri zimenikuza, mche ulikuwa nyuma ya bafu ukastawi sana, ukinyauka unawekwa mwingine. Toka nije mjini sijawahi kuzionaFigiri, Mchunga, Solilo.