Sangizi
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 1,942
- 4,230
The one and only GENTAMYCINEndiyo nani huyu ndugu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The one and only GENTAMYCINEndiyo nani huyu ndugu?
ina maana hiyo network ilikuwa inasubiria mpaka kwanza simba sc ifungwe na yanga sc ndipo ikatike au ilete shida?Huyu ndugu yangu Kuna Uzi alisema baada ya Ile mechi atakuwa sehemu ambayo Haina network. Hivyo naamini hajakimbia bali ni tatizo la sehemu aliyopo
Mara ya mwisho alisema yupo Kwa mjomba wake kagame akiwasifia wa mama ntilie wa kule kuwa ni wasafi sanahalafu nilisahau mkuu hivi huyu jamaa yuko wapi?
Huyu yupo Kiabakari anauza ndiziGENTAMYCINE 😅😅
Hahahaha. ..Dada Gentq yuko ghetto kwangu napiga mashine ninavyotaka
HahahahaHuyu yupo Kiabakari anauza ndizi
😂😂Ila wewe jamaa unakuaga na ufalahalafu hili neno la kuukweka au naukweka naona huwa anapenda sana kulitumia hivi huwa lina maana gani ndugu? jamaa ana maneno ambayo akiyaleta hapa yanapokelewa na wana jamvi kwa uharaka na kuanza kutumika. naanza kuamini kuwa yawezekana jamaa akawa charismatic fella kweli
😂😂Ila wewe jamaa unakuaga na ufala
AmeshajiletaGENTAMYCINE 😅😅
Naam...nimeona anavojitekenya na kucheka mwenyewe 🤣Ameshajileta
Nyuzi za wagombania bando zipo kama huu uzi ulivyo, hawana hela ya kununua bando ila wanamuda wa kufatilia watu wa kufuatilia watu na watafutaji 😂😂naanza na huyu rodrick alexander yupo wapi?
Mwasibunaanza na huyu rodrick alexander yupo wapi?
Jamaa ni mtutsi.Mara ya mwisho alisema yupo Kwa mjomba wake kagame akiwasifia wa mama ntilie wa kule kuwa ni wasafi sana
GENTAMYCINE
Jamaa anatoka bunda vijijiniKuna mtu kwenye huu uzi anajiyekenya na kucheka yeye mwenyewe. Nimekaa namuangalia tu. Anatuona kama na sisi ni hamnazo.
Hivi huyu muhitimu wa ushirikina saut hua ni tofauti na muanzisha uziGENTAMYCINE 😅😅