Taja midfielder aliye fomu kwa sasa kwenye EPL

Taja midfielder aliye fomu kwa sasa kwenye EPL

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Tunaelekea krisimasi, EPL ndo kwanza imechanganya, wakati ligi nyingine zikikaribia mapumziko ya sikukuu. Kwa upande wa EPL ndo kwanza mambo yamechangamka; ligi hii haisimami inapigwa mechi mfululizo kipindi cha Krisimasi mpaka Mwaka Mpya.

Wakati hayo yakiendelea ni midfielder/kiungo gani ambaye yuko fomu msimu huu amekuvutia mno? Mimi kwasasa namkubali sana Mateo Kovacic.
 
Albino anatisha[emoji16]
Screenshot_20191216-124037.jpeg
Screenshot_20191216-124026.jpeg
Screenshot_20191216-124016.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaelekea krisimasi, EPL ndo kwanza imechanganya, wakati ligi nyingine zikikaribia mapumziko ya sikukuu. Kwa upande wa EPL ndo kwanza mambo yamechangamka; ligi hii haisimami inapigwa mechi mfululizo kipindi cha Krisimasi mpaka Mwaka Mpya.

Wakati hayo yakiendelea ni midfielder/kiungo gani ambaye yuko fomu msimu huu amekuvutia mno? Mimi kwasasa namkubali sana Mateo Kovacic.
Tonguy Ndombele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom