Taja njia za kupunguza mfumko wa bei mpaka ufike zero

Taja njia za kupunguza mfumko wa bei mpaka ufike zero

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Ni ukweli usiopingika kwamba tatizo la mfumko wa bei limekua ni sugu kiasi kwamba linakoelekea litawashinda viongozi.

Pengine kuna njia ambazo zimefichika ambazo wakizigusa zinaweza kusaidia kupunguza mfumko.

Najua humu ndani kuna wachumi,
wanasiasa na wazoefu wanaweza kutaja njia zinazoweza kupunguza mfumko wa bei katika taifa letu.

Twende hivi sasa.
Taja njia za kupunguza mfumko wa bei mpaka ufike zero.
 
Ni mm ni mchumi na nimesoma Marekani, lakini siruhusiwi kuweka utaalamu wangu hapa. Kwa mahitaji ya ushauri wa kitaalamu kuhusu uchumi njoo DM.
 
Swali la kwanza kujiuliza ni nini kisababishi cha mfumuko wa bei?

Ukitazama bidhaa hizi zilizojaa kwenye masoko kuanzia vifaa vya ujenzi, chakula, electronics, mavazi, dawa, Nishati kama mafuta, asilimia kubwa tuna agiza kutoka mataifa ya nje.

Na huko vitokapo bei ipo chini sana kwa sababu za kibiashara. Changamoto inaanza baada ya kufika bandarini hapo makadirio ya kodi huwa yanafanyika kwa namna za kizembe na kiwehu sana. Kuna vitu kama VAT,yaani katika taifa lenye mamlaka ya hovyo katika ukusanyaji wa kodi hii basi Tanzania ni namba moja.

Unaambiwa VAT ni kodi inayotozwa katika ongezeko la thamani katika bidhaa. Sasa mfano mimi nimenunua gari nalileta kwa matumizi yangu ya usafiri unanichaji VAT,hiyo imekaaje hapo?!

Nanunua TV kwaajiri ya kutazama nyumbani kwangu unaniwekea VAT ? Hapo sijazungumzia utitiri wa kodi chargers zingine za kipuuzi kama ile Railway Levy ambazo ukihoji mantiki yake majibu hautapewa zaidi ya wizi wizi tu wa kimamlaka kwa raia wake. Haya hapa nimeongelea gari tu. Ila kuna utitiri wa kodi na tozo katika kila bidhaa iliyopo sokoni leo hii.

Mfamuko wa bei huu kimsingi ni matokeo ya kurudikana kwa tozo mbali mbali za serikali kupitia mamlaka zakw zisizo na tija kwa taifa kimaendeleo zaidi ya kurudishana nyuma.

Pesa yetu ilitakiwa kuwa na thamani sana na kuboost uzalishaji wa Ndani wa taifa sababu tuna soko kubwa sana la ndani so tunavyozalisha vina uhakika wa kutumika ndani kwa asilimia kubwa hata kabla hatujaenda nchi jirani.

Tazama leo kutokana na mfumuko wa bei kipato cha raia kinamshinda hata kumudu kununua kilo moja ya nyama.

Mfumuko wa bei watanzania ukiutazama kwa kina kisababishi kikubwa ni sera mufilisi za serikali ya CCM na wadau wake wanaoshauriana bila kuwa na hekima ya kutambua maendeleo ni jambo mtambuka linalohitaji ushiriki wa kada mbali mbali za Jamii katika taifa.

Huu mfumuko wa bei ni ngumu sana kutibika endapo hawa watu waliopo katika kada ya uongozi wataendelea kuwapo. Na hii ndio inasababisha hali ya umasikini wa kisasa ambao ni umasikini mbaya kabisa kuliko ule tuliokuwa nao kipindi cha miaka ya uhuru.

Unapokuwa na vijana wa rika la wastani wa miaka 30 hawana hata shilingi 100 benki, wana madeni, hawana ajira rasmi, hawana mifukonya hifadhi ya jamii, hawana bima ya afya, hawana uwezo wa kuhudumia familia tayari wewe ni taifa masikini sana tena kwa level mbaya sana.
 
Ni ukweli usiopingika kwamba tatizo la mfumko wa bei limekua ni sugu kiasi kwamba linakoelekea litawashinda viongozi.

Pengine kuna njia ambazo zimefichika ambazo wakizigusa zinaweza kusaidia kupunguza mfumko.

Najua humu ndani kuna wachumi,
wanasiasa na wazoefu wanaweza kutaja njia zinazoweza kupunguza mfumko wa bei katika taifa letu.

Twende hivi sasa.
Taja njia za kupunguza mfumko wa bei mpaka ufike zero.
Ili iweje?
 
Swali la kwanza kujiuliza ni nini kisababishi cha mfumuko wa bei?

Ukitazama bidhaa hizi zilizojaa kwenye masoko kuanzia vifaa vya ujenzi, chakula, electronics, mavazi, dawa, Nishati kama mafuta, asilimia kubwa tuna agiza kutoka mataifa ya nje.

Na huko vitokapo bei ipo chini sana kwa sababu za kibiashara. Changamoto inaanza baada ya kufika bandarini hapo makadirio ya kodi huwa yanafanyika kwa namna za kizembe na kiwehu sana. Kuna vitu kama VAT,yaani katika taifa lenye mamlaka ya hovyo katika ukusanyaji wa kodi hii basi Tanzania ni namba moja.

Unaambiwa VAT ni kodi inayotozwa katika ongezeko la thamani katika bidhaa. Sasa mfano mimi nimenunua gari nalileta kwa matumizi yangu ya usafiri unanichaji VAT,hiyo imekaaje hapo?!

Nanunua TV kwaajiri ya kutazama nyumbani kwangu unaniwekea VAT ? Hapo sijazungumzia utitiri wa kodi chargers zingine za kipuuzi kama ile Railway Levy ambazo ukihoji mantiki yake majibu hautapewa zaidi ya wizi wizi tu wa kimamlaka kwa raia wake. Haya hapa nimeongelea gari tu. Ila kuna utitiri wa kodi na tozo katika kila bidhaa iliyopo sokoni leo hii.

Mfamuko wa bei huu kimsingi ni matokeo ya kurudikana kwa tozo mbali mbali za serikali kupitia mamlaka zakw zisizo na tija kwa taifa kimaendeleo zaidi ya kurudishana nyuma.

Pesa yetu ilitakiwa kuwa na thamani sana na kuboost uzalishaji wa Ndani wa taifa sababu tuna soko kubwa sana la ndani so tunavyozalisha vina uhakika wa kutumika ndani kwa asilimia kubwa hata kabla hatujaenda nchi jirani.

Tazama leo kutokana na mfumuko wa bei kipato cha raia kinamshinda hata kumudu kununua kilo moja ya nyama.

Mfumuko wa bei watanzania ukiutazama kwa kina kisababishi kikubwa ni sera mufilisi za serikali ya CCM na wadau wake wanaoshauriana bila kuwa na hekima ya kutambua maendeleo ni jambo mtambuka linalohitaji ushiriki wa kada mbali mbali za Jamii katika taifa.

Huu mfumuko wa bei ni ngumu sana kutibika endapo hawa watu waliopo katika kada ya uongozi wataendelea kuwapo. Na hii ndio inasababisha hali ya umasikini wa kisasa ambao ni umasikini mbaya kabisa kuliko ule tuliokuwa nao kipindi cha miaka ya uhuru.

Unapokuwa na vijana wa rika la wastani wa miaka 30 hawana hata shilingi 100 benki, wana madeni, hawana ajira rasmi, hawana mifukonya hifadhi ya jamii, hawana bima ya afya, hawana uwezo wa kuhudumia familia tayari wewe ni taifa masikini sana tena kwa level mbaya sana.
 
Swali la kwanza kujiuliza ni nini kisababishi cha mfumuko wa bei?

Ukitazama bidhaa hizi zilizojaa kwenye masoko kuanzia vifaa vya ujenzi, chakula, electronics, mavazi, dawa, Nishati kama mafuta, asilimia kubwa tuna agiza kutoka mataifa ya nje.

Na huko vitokapo bei ipo chini sana kwa sababu za kibiashara. Changamoto inaanza baada ya kufika bandarini hapo makadirio ya kodi huwa yanafanyika kwa namna za kizembe na kiwehu sana. Kuna vitu kama VAT,yaani katika taifa lenye mamlaka ya hovyo katika ukusanyaji wa kodi hii basi Tanzania ni namba moja.

Unaambiwa VAT ni kodi inayotozwa katika ongezeko la thamani katika bidhaa. Sasa mfano mimi nimenunua gari nalileta kwa matumizi yangu ya usafiri unanichaji VAT,hiyo imekaaje hapo?!

Nanunua TV kwaajiri ya kutazama nyumbani kwangu unaniwekea VAT ? Hapo sijazungumzia utitiri wa kodi chargers zingine za kipuuzi kama ile Railway Levy ambazo ukihoji mantiki yake majibu hautapewa zaidi ya wizi wizi tu wa kimamlaka kwa raia wake. Haya hapa nimeongelea gari tu. Ila kuna utitiri wa kodi na tozo katika kila bidhaa iliyopo sokoni leo hii.

Mfamuko wa bei huu kimsingi ni matokeo ya kurudikana kwa tozo mbali mbali za serikali kupitia mamlaka zakw zisizo na tija kwa taifa kimaendeleo zaidi ya kurudishana nyuma.

Pesa yetu ilitakiwa kuwa na thamani sana na kuboost uzalishaji wa Ndani wa taifa sababu tuna soko kubwa sana la ndani so tunavyozalisha vina uhakika wa kutumika ndani kwa asilimia kubwa hata kabla hatujaenda nchi jirani.

Tazama leo kutokana na mfumuko wa bei kipato cha raia kinamshinda hata kumudu kununua kilo moja ya nyama.

Mfumuko wa bei watanzania ukiutazama kwa kina kisababishi kikubwa ni sera mufilisi za serikali ya CCM na wadau wake wanaoshauriana bila kuwa na hekima ya kutambua maendeleo ni jambo mtambuka linalohitaji ushiriki wa kada mbali mbali za Jamii katika taifa.

Huu mfumuko wa bei ni ngumu sana kutibika endapo hawa watu waliopo katika kada ya uongozi wataendelea kuwapo. Na hii ndio inasababisha hali ya umasikini wa kisasa ambao ni umasikini mbaya kabisa kuliko ule tuliokuwa nao kipindi cha miaka ya uhuru.

Unapokuwa na vijana wa rika la wastani wa miaka 30 hawana hata shilingi 100 benki, wana madeni, hawana ajira rasmi, hawana mifukonya hifadhi ya jamii, hawana bima ya afya, hawana uwezo wa kuhudumia familia tayari wewe ni taifa masikini sana tena kwa level mbaya sana.
Umeongea kwa hisia Sana
 
Easy mbona

1)Serikali iwainue mabilionea wapya kupitia mikopo wezeshi japo watu wachache tu, wakafanye uwekezaji na uzalishaji wa bidhaa ambazo hazizalishwi nchini, bidhaa hizo zitengenezwe hapa hapa nchin

2)Mabadiriko ya NISHATI, karne hii kuendelea kutegemea umeme/nguvu ya nishati kutoka ktk mafuta huu ni ujinga, moja ya sababu kuu ya mfumuko wa bei, ni suala la mafuta, yaan yakipanda huko wanakozalishwa automatically kila kitu kitapanda mpka huku tunaotegemea nishati maana karibia kila bidhaa/huduma inahitaji usafirishaji ili kumfikia muhitaji,

hivyo mabadiriko ya nishati yafanyike, mfano technologia ya injini zinazotumia gesi ktk magari na mitambo viwandani iwezeshwe ili kuondoa utegemez wa mafuta, bila kusahau technology ya magari na mitambo inayotumia umeme direct tofaut na mafuta, ambapo tutatumia umeme unaozalshwa nchini hapa hapa kupitia vyanzo, vingi kama vile nishati ya maji, jua, upepo, n.k

3)Kuzipa thamani bidhaa za ndani kulko zile za nje , bidhaa ambazo huchukua nafasi kubwa na kureplace bidhaa za ndan, sababu nyingine ya kufa kwa huduma/bidhaa za ndani ni ushindan unaozalishwa na makampuni ya kigeni, yanapojaribu kujipanua na kueneza ushawishi wake, then matokeo yake uwekezaji wa wazawa ama watoa huduma wa nchini lazima washindwe tu,
mfano mnauona kwa TTCL huduma zake ni hovyo huwez kulinganisha na makampuni ya kigeni kama Vodacom ambayo yamekamata sehemu kubwa mawasiliano na kuweka utegemez wa raia nchin.
 
Easy mbona

1)Serikali iwainue mabilionea wapya kupitia mikopo wezeshi japo watu wachache tu, wakafanye uwekezaji na uzalishaji wa bidhaa ambazo hazizalishwi nchini, bidhaa hizo zitengenezwe hapa hapa nchin

2)Mabadiriko ya NISHATI, karne hii kuendelea kutegemea umeme/nguvu ya nishati kutoka ktk mafuta huu ni ujinga, moja ya sababu kuu ya mfumuko wa bei, ni suala la mafuta, yaan yakipanda huko wanakozalishwa automatically kila kitu kitapanda mpka huku tunaotegemea nishati maana karibia kila bidhaa/huduma inahitaji usafirishaji ili kumfikia muhitaji,

hivyo mabadiriko ya nishati yafanyike, mfano technologia ya injini zinazotumia gesi ktk magari na mitambo viwandani iwezeshwe ili kuondoa utegemez wa mafuta, bila kusahau technology ya magari na mitambo inayotumia umeme direct tofaut na mafuta, ambapo tutatumia umeme unaozalshwa nchini hapa hapa kupitia vyanzo, vingi kama vile nishati ya maji, jua, upepo, n.k

3)Kuzipa thamani bidhaa za ndani kulko zile za nje , bidhaa ambazo huchukua nafasi kubwa na kureplace bidhaa za ndan, sababu nyingine ya kufa kwa huduma/bidhaa za ndani ni ushindan unaozalishwa na makampuni ya kigeni, yanapojaribu kujipanua na kueneza ushawishi wake, then matokeo yake uwekezaji wa wazawa ama watoa huduma wa nchini lazima washindwe tu,
mfano mnauona kwa TTCL huduma zake ni hovyo huwez kulinganisha na makampuni ya kigeni kama Vodacom ambayo yamekamata sehemu kubwa mawasiliano na kuweka utegemez wa raia nchini.
 
Back
Top Bottom