Taja sehemu ya utotoni usiyoisahau

Mi nakumbuka nilipokua kindergaten....kuna katoto nilikua nakapenda sana darasani..

Bas kila siku baada ya shule naenda kupiga misele kwao .nikaone tuu

Sasa kuna siku tukakutana kwenye chaka moja hiv karib na kwao..basi tukaanza vua mabag ya shule ili tuanze vuana nguo..hapo kimya kimya..

Na huwez amin...that thing was happening naturaly..mim skuwai ona picha za x wala nin.....

Bas bwana kumbe dada angu ambaye yeye alikua primary school...anatoka shule anarud alituona tunaingia kwenye chaka..bas akatoka pale akaenda sema home...

Basi mtaa mzima stori ndo ikawa hiyo...wamefanya mchezo mbayaaa...

Wakat sis baada ya kuvua nguo tukakumbatiana tu gusanisha matumbo.tukavaa nguo tukaondoka...

Dah acha tuu...toka siku hyo nikawa na image ya mtoto mwenye michezo mibaya mtaan
 
Memory nzuri story yako imenikumbusha mchezo fulani unaitwa "KULA MBAKISHIE BABA" watoto wa kishua hawawezi kuujua huu ulikwepo sana shule za kayumba.

Mchezo wenyewe upo hivi mnakusanya kirundo cha mchanga kisha pale katikati mnachomeka kijiti halafu kila mtu anaanza kula (kuvuta mchanga kutoka kwenye kile kirundo) sasa ataeangusha kile kijiti kuna sehemu mnakubaliana pa kwenda kushika aisee kama huna mbio bas jua ezirael anaweza pita na wewe kwa kipigo utachopokea

Huo mchezo wenu sisi tulikua tunauita tobo dunda
 
[emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…