"Kilimo cha Nyoka" toka kwa motivational speakersNitaiweza ila yasiwe yale mambo ya Mr kuku[emoji38]
Eeh yaan kale katoto kanalala juu yangu na hata dudu haingii ila tulikua tunajua tunafanyaDuuh six years old?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Eeh yaan kale katoto kanalala juu yangu na hata dudu haingii ila tulikua tunajua tunafanya
Memory nzuri story yako imenikumbusha mchezo fulani unaitwa "KULA MBAKISHIE BABA" watoto wa kishua hawawezi kuujua huu ulikwepo sana shule za kayumba.Niliweka story ya kikubwa badala ya kitoto nimeifuta.
Dobo kubitika, nani analijua hili game?
Uwanja wa shule ya msingi (jina kapuni) huko Moshi, niko darasa la pili hapo sina hili wala lile wale wakubwa wa darasa la nne wanacheza hilo game.
Mpira ukapigwa ukaja sehemu tulipo mi nikaamua kuupiga kuwarudishia, bahati mbaya nikaukosa then ukanipita dobo na nilikuwa sijui kama wanacheza dobo kubitika so sikujihami kukimbia!
Nilipigwa siku ile aisee! Nilikuwa nakufa! Mpaka waliokuwa madarasani ambao walikuwa hawachezi wakatoka kuja kunipiga!
Mbaya zaidi napigwa halafu pa kwenda kushika sipajui! Nilikula kichapo kama mwizi, watoto kama mia hivi yaan iligeuka sherehe ya kunipiga!
Mwalimu ndiyo aliniokoa, natoka midamu puani, mdomoni uniform imechanwa! Sitosahau kile kichapo, sitosahau lile eneo la shule hata kama siku hizi wamejenga shule ingine kwenye ule uwanja mkubwa sana
[emoji16][emoji16]Sehemu ya pili nisiyoisahau
Uwanja wa mpira Kibaranga Muheza Tanga
Tuliambiwa kuna wachawi ndio airport yao usiku ...basi baada ya watu kulala sisi tukatoroka majumbani mwetu na kupitiana tukaenda mpaka pale uwanjani tukajibanza kwenye msufi tukiwa na vichupi tu huku tukiwa tumejipaka masizi usoni
Siku ile tuliwaona hata tusiotegemea kuwaona pale wake kwa waume ...wote wakiwa uchi kabisa ..wakati wakijiandaa kuruka na nyungo zao sijui kilitokea nini ila tulistukia tunakula vitasa vya kufa mtu..kila mmoja wetu alienda na njia yake...