ruralofficer
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,494
- 3,630
The long wait ndio series ambayo hadi mzee wangu alikuaanaichekiHaikuja tokea Series tamu kama
1. Marimar
2. It might be you
3. The long wait
4. The promise
4. Lamujer de Lorenzo
5. Lamujer demivida
Na hatuna mpangohivi nipo peke yangu au tupo wengi ambao hatujaangalia hata kipande kimoja cha game of thrones ?
Mimi mmojawapohivi nipo peke yangu au tupo wengi ambao hatujaangalia hata kipande kimoja cha game of thrones ?
Duu kama hujaichk 24 basi wewe bado hujaangalia seriesNiko hapa sio hiyo tuu hata hiyo saa 24
Nadhani pia sikuipendaDuu kama hujaichk 24 basi wewe bado hujaangalia series
Duu kama hujaichk 24 basi wewe bado hujaangalia series
miaka mi3 iliyopita Mr. Ecko alitua zanzibar, tukiwa pale airport ya zanzibar, kila 1 akaanza mshangaa mpaka hao watu wa uhamiaji na askari ndani ya airport waliomba kupiga nae picha, jamaa ni massive na giant ile mbayaNapenda ile misemo yao
"They coming"
"Who is coming"?
"Others"
Who is others?
Prison break wamecopy series 1 inaitwa OZBinafsi sijui kwanini game of the throne imekuwa gumzo,bora hata prisonbreak baada ya maneno mengi niliamua kuicheck na nika appreciate,lakini hii game of the throne sioni namna gani itaizidi hii nayotazama sasa ya ,Lord of the skies,kina jitu kumbuka Aurelio cassila,mnyama Chema venigar,mzee Feo,Rais omar Tellane,kijana Victor mwana wa chikota,katili official na schemer Engineer mzee wa mwendo pole bila kumsahau military strategist Harvey,Tim rawling etc
Dar AdalHakuna series bora kwangu kama
1.Homeland- mpaka nairudia, nangojea season 08.
2. The excorcist.
kanichapia nyama mshenzi huyu, anayejipendeza yeye kung'utilia mbali, ila kwa mbunye jamaa alikuwa dhaifu sana,Nampenda Sawyer, sexy dude on Earth [emoji3]
Dah, umenikumbusha sana mule ndani yaliyojiri.Dar Adal
Saul
Abu Nazzar
Issa
Nick Brody
Hakuna series bora kama hii
😆😆kanichapia nyama mshenzi huyu, anayejipendeza yeye kung'utilia mbali, ila kwa mbunye jamaa alikuwa dhaifu sana,
hii kitu hatari sana kuna matukio ya kuogofya sana kule Iraq Carry alikuwa anacheza kama Pele afu kuna jamaa alikuwa geniuos sana kamsave sana Carry nimesahau jina lakeDah, umenikumbusha sana mule ndani yaliyojiri.
Abu Nazzir aliwasumbua sana CIA.
Nick Brody alikuwa double agent huyu na Carrie Mathison ndiye aliyejua ukweli na kushuhudia kifo chake akiwa ananyongwa uarabuni live.
Niliumia sana yule jamaa kunyongwa. Ilinichukua muda sana kuja kuendeleza kuangalia season 4Dah, umenikumbusha sana mule ndani yaliyojiri.
Abu Nazzir aliwasumbua sana CIA.
Nick Brody alikuwa double agent huyu na Carrie Mathison ndiye aliyejua ukweli na kushuhudia kifo chake akiwa ananyongwa uarabuni live.
Dada jasusi mahiri sana, uwezo wake wa kufanya comaflauge na kudeal na arabs ulipelekea kuwa permanent asset kwenye CIA.hii kitu hatari sana kuna matukio ya kuogofya sana kule Iraq Carry alikuwa anacheza kama Pele afu kuna jamaa alikuwa geniuos sana kamsave sana Carry nimesahau jina lake