Taja sifa moja unayoijua kuhusu Haruna Moshi Boban Mawela

Taja sifa moja unayoijua kuhusu Haruna Moshi Boban Mawela

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Unajuu au uliwahi kusikia nini kuhusu fundi Haruna Moshi Shaban “Boban”
Tuambie

IMG_3743.jpeg
 
Huyu angekuwa mtu wa kwanza Kufanikiwa Na kutoboa Huko Ulaya basi angekuwa Boban. Alifika 2010-11 Sweden katika klabu Ya Gefle IF iliyokuwa Ligikuu wakati Huo, Moja Ya klabu Kubwa Nchini Humo, wazungu walimpa Kila kitu alichohitaji.

Kutokana na Kipaji Chake Ikafika Stage wazungu wale wakawa wapo Tayari Kumpa Unahodha katika Klabu Hiyo, Wao walimuona mbali Zaidi Ya Alivojiona na kuwaza, Lakini Bado Boban alichagua kurudi Nyumbani kwa sababu zake mwenyewe,stori Yake Huwa inanifikirisha sana.

Boban alichagua kuimbwa kwenye majukwaaa Ya Mkapa stadium, Kirumba ,Sokoine na mkwakwani na sio Ulaya Tena, Boban alikosa Watu sahihi Kwenye Maisha Yake
 
Huyu angekuwa mtu wa kwanza Kufanikiwa Na kutoboa Huko Ulaya basi angekuwa Boban. Alifika 2010-11 Sweden katika klabu Ya Gefle IF iliyokuwa Ligikuu wakati Huo, Moja Ya klabu Kubwa Nchini Humo, wazungu walimpa Kila kitu alichohitaji.

Kutokana na Kipaji Chake Ikafika Stage wazungu wale wakawa wapo Tayari Kumpa Unahodha katika Klabu Hiyo, Wao walimuona mbali Zaidi Ya Alivojiona na kuwaza, Lakini Bado Boban alichagua kurudi Nyumbani kwa sababu zake mwenyewe,stori Yake Huwa inanifikirisha sana.

Boban alichagua kuimbwa kwenye majukwaaa Ya Mkapa stadium, Kirumba ,Sokoine na mkwakwani na sio Ulaya Tena, Boban alikosa Watu sahihi Kwenye Maisha Yake
Alimiss cha arusha ndo mana alirudi Bongo nyoso
 
Chini ya wakala Damas Ndumbaro ambaye kwasasa ni Waziri wa Michezo
Huyu angekuwa mtu wa kwanza Kufanikiwa Na kutoboa Huko Ulaya basi angekuwa Boban. Alifika 2010-11 Sweden katika klabu Ya Gefle IF iliyokuwa Ligikuu wakati Huo, Moja Ya klabu Kubwa Nchini Humo, wazungu walimpa Kila kitu alichohitaji.

Kutokana na Kipaji Chake Ikafika Stage wazungu wale wakawa wapo Tayari Kumpa Unahodha katika Klabu Hiyo, Wao walimuona mbali Zaidi Ya Alivojiona na kuwaza, Lakini Bado Boban alichagua kurudi Nyumbani kwa sababu zake mwenyewe,stori Yake Huwa inanifikirisha sana.

Boban alichagua kuimbwa kwenye majukwaaa Ya Mkapa stadium, Kirumba ,Sokoine na mkwakwani na sio Ulaya Tena, Boban alikosa Watu sahihi Kwenye Maisha Yake
 
Back
Top Bottom