gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Mpaka mbwa wa polisi akamkimbiza baada ya mechi kuisha kwa mkapaAlikuwa anavuta bangi ya Ndevelwa na Chabutwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka mbwa wa polisi akamkimbiza baada ya mechi kuisha kwa mkapaAlikuwa anavuta bangi ya Ndevelwa na Chabutwa.
Boban mwenyewe alijua umri umeenda hawezi fanya lolote,bangi ikawa tabu huko sweden,akaanza kuwalamba buti mazoezini na kuwatemea mate Ili wamuacheHuyu angekuwa mtu wa kwanza Kufanikiwa Na kutoboa Huko Ulaya basi angekuwa Boban. Alifika 2010-11 Sweden katika klabu Ya Gefle IF iliyokuwa Ligikuu wakati Huo, Moja Ya klabu Kubwa Nchini Humo, wazungu walimpa Kila kitu alichohitaji.
Kutokana na Kipaji Chake Ikafika Stage wazungu wale wakawa wapo Tayari Kumpa Unahodha katika Klabu Hiyo, Wao walimuona mbali Zaidi Ya Alivojiona na kuwaza, Lakini Bado Boban alichagua kurudi Nyumbani kwa sababu zake mwenyewe,stori Yake Huwa inanifikirisha sana.
Boban alichagua kuimbwa kwenye majukwaaa Ya Mkapa stadium, Kirumba ,Sokoine na mkwakwani na sio Ulaya Tena, Boban alikosa Watu sahihi Kwenye Maisha Yake
Na Wita.Alikuwa anavuta bangi ya Ndevelwa na Chabutwa.
Sura yake ukiangalia ni Kama ana smoke weed.Unajuu au uliwahi kusikia nini kuhusu fundi Haruna Moshi Shaban “Boban”
TuambieView attachment 3120130
Kwao Tabora kakaKwao ni Kigoma sio Tabora
Wewe utakuwa Muha, kazi maubishi tuKwao ni Kigoma sio Tabora
Kwao sio Tabora kwao ni Kigoma,Tabora walihamia tu baba yake alikuwa mfanyakazi wa Railway so Tabora baba yao alienda kikazi
Gongoni na Bachu huwa hapamuachi mtu salama kama hana akili za ziada.Na Wita.
Mbwa akajua anakimbiza fuko lenye bangi ya Kwihala.Mpaka mbwa wa polisi akamkimbiza baada ya mechi kuisha kwa mkapa
Wa Gongoni mjini kati.
Wewe kweli mtabora mwenzangu. Kudos Mboka.Gongoni na Bachu huwa hapamuachi mtu salama kama hana akili za ziada.