Taja sifa za wanaume wa hapa JamiiForums

Taja sifa za wanaume wa hapa JamiiForums

Wanaume wa Jamiiforum wana sifa kedekede za kuvutia na kufurahisha.
Kwa kuangalia Avatar, I'd na michango yao kwenye nyuzi mbalimbali .

Zifuatazo ni sifa za wanaume wa Jf Kwa utafiti wangu binafsi.

...Waongo
....Wanapenda sifaa
.....Wanapenda kutoa maamuzi na. wanalazimisha wanawake tuyafate Kwa lazima
......Walaghai wa mapenzi na matapeli
......Wana wivu hawataki kusikia Ke wa Jf Tupo kwenye mahusiano.
......Ukiwakataaa pm wanakuja kukuponda kwenye comment
.....Wote wanamiliki usafir (magari)
......Hawapendi kurekebishwaa wanapokosea.

2018 naikaribisha Kwa style hii.
Na mimi umeniweka kundi gani weye bibie?
 
Wanaume wa Jamiiforum wana sifa kedekede za kuvutia na kufurahisha.
Kwa kuangalia Avatar, I'd na michango yao kwenye nyuzi mbalimbali .

Zifuatazo ni sifa za wanaume wa Jf Kwa utafiti wangu binafsi.

...Waongo
....Wanapenda sifaa
.....Wanapenda kutoa maamuzi na. wanalazimisha wanawake tuyafate Kwa lazima
......Walaghai wa mapenzi na matapeli
......Wana wivu hawataki kusikia Ke wa Jf Tupo kwenye mahusiano.
......Ukiwakataaa pm wanakuja kukuponda kwenye comment
.....Wote wanamiliki usafir (magari)
......Hawapendi kurekebishwaa wanapokosea.

2018 naikaribisha Kwa style hii.
Desmiss nakupenda Sana ujue, yani upo tofauti na mademu mengi matahira ya humu Manuka mdomo, unakuta li demu lingine linapita kila thread kupondea *****. Yamebaki na akili za kubadilishia pad tu. Hayajui hata kuandika pumbavu zao, yaani vichwa maandazi kabisa.rubbish kabisa na kwa vyovyote yatakua shapeless na wanuka vyupi. Wino umeisha kesho takuja kuyataja.
 
Wanaume wa Jamiiforum wana sifa kedekede za kuvutia na kufurahisha.
Kwa kuangalia Avatar, I'd na michango yao kwenye nyuzi mbalimbali .

Zifuatazo ni sifa za wanaume wa Jf Kwa utafiti wangu binafsi.

...Waongo
....Wanapenda sifaa
.....Wanapenda kutoa maamuzi na. wanalazimisha wanawake tuyafate Kwa lazima
......Walaghai wa mapenzi na matapeli
......Wana wivu hawataki kusikia Ke wa Jf Tupo kwenye mahusiano.
......Ukiwakataaa pm wanakuja kukuponda kwenye comment
.....Wote wanamiliki usafir (magari)
......Hawapendi kurekebishwaa wanapokosea.

2018 naikaribisha Kwa style hii.
Uko sawa kbs, hakuna hata ulichokosea.
 
Desmiss nakupenda Sana ujue, yani upo tofauti na mademu mengi matahira ya humu Manuka mdomo, unakuta li demu lingine linapita kila thread kupondea *****. Yamebaki na akili za kubadilishia pad tu. Hayajui hata kuandika pumbavu zao, yaani vichwa maandazi kabisa.rubbish kabisa na kwa vyovyote yatakua shapeless na wanuka vyupi. Wino umeisha kesho takuja kuyataja.
Uwiiiiiiiiiiiiii Mkuu taratibu Nitapata kesi miye
 
Back
Top Bottom