zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Kwenye maisha kuna vitu vingi vinatokea kila siku vingine vinafurahisha na vingine vinakera au vinakuchukiza sema hutakagi kusema tu.
Kwa mfano vitu vinavyonikera Mimi
Ni pale unapoenda kanisani Ila kipindi cha michango na matangazo kinakuwa kirefu kuliko mahubiri[emoji6][emoji6]
Kingine ni pale unapumuona dada flani analazimisha kuvaa nguo ambazo haziendani na maumbile yake...[emoji848][emoji848]
Na kingine ni pale unapoongea na mtu Ila hataki kukusikiliza anataka umsikilize yeye tu tena anatupia na mikono kabisa
Wakati mwingine unakuta umekaa kwenye basi alafu uliyekaa naye anakula kula tu mara mayai,mara viazi huwa inanikera [emoji34][emoji34][emoji34]
Unakuta mtu anakushauri hata mambo ambayo unajua unatakiwa kufanya "mdogo wangu soma sana elimu ni kila kitu"[emoji35][emoji35]
Kwa mfano vitu vinavyonikera Mimi
Ni pale unapoenda kanisani Ila kipindi cha michango na matangazo kinakuwa kirefu kuliko mahubiri[emoji6][emoji6]
Kingine ni pale unapumuona dada flani analazimisha kuvaa nguo ambazo haziendani na maumbile yake...[emoji848][emoji848]
Na kingine ni pale unapoongea na mtu Ila hataki kukusikiliza anataka umsikilize yeye tu tena anatupia na mikono kabisa
Wakati mwingine unakuta umekaa kwenye basi alafu uliyekaa naye anakula kula tu mara mayai,mara viazi huwa inanikera [emoji34][emoji34][emoji34]
Unakuta mtu anakushauri hata mambo ambayo unajua unatakiwa kufanya "mdogo wangu soma sana elimu ni kila kitu"[emoji35][emoji35]