REALITY
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 4,313
- 1,852
Habari wakuu, kuna mambo mengi sana ambayo nimegundua kuwa si kweli, bali ni uwongo na wanadamu huamini ni ukweli.
1. Jua limesimama wakati linazunguka.
2. Ndege kutumia mafuta: Ndege hutumia 90% compressed air na 10% kerosene ili kufanya safari zake.
3. Mafuta hupatikana kwa mizoga: Mafuta huwa chini ya mkondo wa bahari ni mengi na hayawezi kuisha na hayatokani na fossils.
4. Biblia ni genuine: Aliyetafsiri biblia ya 1611 ya kjv ya kwanza ni Freemason na alibadilisha maandiko mengi na kufuta baadhi ya vitabu.
5. Kuna gravity: Gravity haipo ni density na bouyancy.
6. Walifika mwezini: Hawakufika ilikuwa ni cinema, na hata juzi ulisikia nasa wanataka kwenda na hakwenda kwa kusema chombo kina dosari za kurekebisha, wanawapanga.
7. Haiwezakani gari kutumia upepo: Gari za kwanza zilitumia upepo na zilitembea 60 miles per hour, wameficha hiyo technology ila ipo(mechanical engineering).
8. Kuna satellites: Sakuna satellites zinazoelea bali kuna kuna ballon survillience, drones na long range towers.
9. Serikali ni ya taifa: Serikali ni kampuni.
10. Cheti cha kuzaliwa ni kusajiliwa kama taxpayer.
11. Afrika ndiyo bara kubwa.
12. Simu ni tracker yako.
Ongezeni.
1. Jua limesimama wakati linazunguka.
2. Ndege kutumia mafuta: Ndege hutumia 90% compressed air na 10% kerosene ili kufanya safari zake.
3. Mafuta hupatikana kwa mizoga: Mafuta huwa chini ya mkondo wa bahari ni mengi na hayawezi kuisha na hayatokani na fossils.
4. Biblia ni genuine: Aliyetafsiri biblia ya 1611 ya kjv ya kwanza ni Freemason na alibadilisha maandiko mengi na kufuta baadhi ya vitabu.
5. Kuna gravity: Gravity haipo ni density na bouyancy.
6. Walifika mwezini: Hawakufika ilikuwa ni cinema, na hata juzi ulisikia nasa wanataka kwenda na hakwenda kwa kusema chombo kina dosari za kurekebisha, wanawapanga.
7. Haiwezakani gari kutumia upepo: Gari za kwanza zilitumia upepo na zilitembea 60 miles per hour, wameficha hiyo technology ila ipo(mechanical engineering).
8. Kuna satellites: Sakuna satellites zinazoelea bali kuna kuna ballon survillience, drones na long range towers.
9. Serikali ni ya taifa: Serikali ni kampuni.
10. Cheti cha kuzaliwa ni kusajiliwa kama taxpayer.
11. Afrika ndiyo bara kubwa.
12. Simu ni tracker yako.
Ongezeni.