Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hii knowledge nzito sana, naipata wapi? Inaonekana ni Historia ndefu sana. Kuna vitu navijua na vingine sivijui. Ila Vatkan (Romans) nyoko sana
Mafuta wanayosema wanachimba huwa hayatokani na mizoga kama ulivyofundishwa darasani bali huwa chini ya mkondo wa maji na kuhusu biblia kuna maandiko mengi yamebadilshwa ukitaka kujua tafuta biblia ya greece ambayo ni kigiriki tupu ya kabla ya huo mwaka halafu anza kutafsiri kwa translator utanishukuru baadayeNamba nne na namba 3 hebu fafanua kwa tuo
View attachment 2391802View attachment 2391802View attachment 2391802serikali ni Group of Company nakubaliana na wewe 100%
Darasani wanasema ni mizoga ndio inazalisha mafuta? Tuachane na hayo. Kwani mafuta yanazalishwa na niniMafuta wanayosema wanachimba huwa hayatokani na mizoga kama ulivyofundishwa darasani bali huwa chini ya mkondo wa maji na kuhusu biblia kuna maandiko mengi yamebadilshwa ukitaka kujua tafuta biblia ya greece ambayo ni kigiriki tupu ya kabla ya huo mwaka halafu anza kutafsiri kwa translator utanishukuru baadaye
BuhahahaNilipoona hili nikapiga simu mirembe wachukue mgonjwa wao.