1-Nachukia mtu anapoacha kuzitumia akili zake kwa makusudi tu na kujifanya chizi...Absence ya common sense kwenye jamii inanikwaza sana.
2-Nachukia kuona mtu akidhulumiwa haki yake, mtu kutake advantage ya wanyonge.
3-Nachukia sana wanasiasa(mapadri,masheikh,wabunge etc) na police
4-Nachukia uonevu (eg adhabu ya kifo kwasababu tu kuna mtu alikua anaitwa Adamu na mke wake walikua waroho wa matunda)
5-Nachukia na nilishakataa kupelekeshwa pelekeshwa...I live by my own codes.