Taja vitu vitano unavyovichukia kuliko vitu vyote

[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] imenibidi nicheke tuu

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
1-Nachukia mtu anapoacha kuzitumia akili zake kwa makusudi tu na kujifanya chizi...Absence ya common sense kwenye jamii inanikwaza sana.
2-Nachukia kuona mtu akidhulumiwa haki yake, mtu kutake advantage ya wanyonge.
3-Nachukia sana wanasiasa(mapadri,masheikh,wabunge etc) na police
4-Nachukia uonevu (eg adhabu ya kifo kwasababu tu kuna mtu alikua anaitwa Adamu na mke wake walikua waroho wa matunda)
5-Nachukia na nilishakataa kupelekeshwa pelekeshwa...I live by my own codes.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…