Taja vitu vitano unavyovichukia kuliko vitu vyote

[emoji23] [emoji23] [emoji23] utakuwa ushazeeka, na mie sitoweza kuvumilia miaka 30 bila kupata utamuuu huoni km utakuta nishawahiwa tunda lako linamegwa na wengine
Boga nimeshalipenda, maua hayatanisumbua

KwaNi wakila tunda litapungua ladha au sukari ?

Sent from my Exclusive Y30-U00 using JamiiForums mobile app
 
Hahahhahahahahah

Jesus is my saviour and a friend
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Amina

Sent from my Exclusive Y30-U00 using JamiiForums mobile app
 
Boga nimeshalipenda, maua hayatanisumbua

Kwa wakila tunda litapungua ladha au sukari ?

Sent from my Exclusive Y30-U00 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo hivyo, kwanza ukikaa gerezani miaka 30 ukitoka na huo ugwadu sidhani km utajali km imetumika na mwingine au lah
 
Kwahiyo hivyo, kwanza ukikaa gerezani miaka 30 ukitoka na huo ugwadu sidhani km utajali km imetumika na mwingine au lah
Mfanyo wake utakuwa sio wa dunia hii.
Maana ugwadu utajaa lita 10

Sent from my Exclusive Y30-U00 using JamiiForums mobile app
 
Kwa namba 4 ntakuletea malimao na pilipili uvumilie maana hakuna namna
 
1. Anayepokonya haki ya watu bila sababu na kujifananisha na Mungu
 
1. Shule
2. Shule
3. Shule
4. Shule
5.Shule

nilishafeli ila sikufeli mitihani yangu ya mwisho, sijawahi kuimiss shule
Ingekuwa unasomea kitu unachokipenda lazima ungependa shule.... ila mfumo wetu wa elimu unasababisha mtu ana soma soma tu hata kama kitu hukipendi na wala huna fyucha( future) nacho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…