Taja Wachezaji Wa Man Utd Wanaopaswa Kuachwa Kwenye Dirisha Kubwa La Usajili

Taja Wachezaji Wa Man Utd Wanaopaswa Kuachwa Kwenye Dirisha Kubwa La Usajili

Kufuatia kuendelea kusuasua kwa Man Utd msimu huu mara hata baada ya kubadili kocha toka Mourinho na sasa Ole Gunnar bado timu imekuwa ni homa ya vipindi.

Inaonekana baadhi ya wachezaji hawana sifa za kuitumikia Man Utd, viwango vyao ni vidogo sana hivyo ni muda muafaka wa kuondoka klabuni hapo na kupisha wachezaji wapya ambao wataweza kwendana na kasi na matakwa ya timu.

Je ni wachezaji gani msimu ujao hawatakiwi kuendelea kuwepo Man Utd, karibu tuwataje.
Mimi naanza na hawa wafuatao, Ashley Young, Smalling, Fred, Sanchez na Pogba.
Mkuu unajua mpira kweli? Hawa ndio WABAKI au WAONDOKE?
 
Wabaki hawa_
Ge gea
Shaw
Herrera
Pogba
Rashford
Lingard
Martial
Alexis
Bailly
Mc tominay
Dalot
Lindelof
Hawa waondoke_
Young
Valencia
Rojo
Smalling
Jones
Matic
Fred
Lukaku
Pereira.. N.k
Hii maana yake huwezi kusajili timu nzima au kufukuza timu nzima.
Mkuu una maana Young,Valencia waondoke halafu Dalot abaki..hauko serous kabisa.
 
Wabaki hawa:-
Da gea
Shaw
Smalling(huyu anakamata sana maforward)
Lindeloef (lazima huyu)
Baily
Young
Valencia(kuwa na wakonge hasa eneo la ulinzi muhimu sana)
Pogba(mchezaji ghali/world cup winner huwezi kumuachia kwa njia yoyote)
Fred(ameimarika sana)
McTominay(huyu lazima)
Matic(sio lazima sana abaki)
Herera
Andres Pereira
Rashford
Lukaku
Mata(ana akili sana, huwa anafananishwa na Silva wa Man City).

Wengine wote uza/toa kwa mkopo.
Lipa gharama yoyote chukua mtu kama Zaha na mwingine mmoja mkali.
Na wengine chukua wale makinda wa academy.
 
Mkuu una maana Young,Valencia waondoke halafu Dalot abaki..hauko serous kabisa.
Valencia ameshaaga kabisa hatuko nae new season... Young tofauti na kurudi winga bora asepe tu, dalot bado ana nafasi ya kucop kwenye timu tofauti na hao wazee
 
Mshaanza kulialia subirin leo mzik wa MAN CITY
 
Daah, unaniangusha mkuu, ina maana na wewe hujui mpira? Mchezaji hapimwi kwa mechi mbili mkuu...
Unajiangusha mwenyewe ungekuwa unajua hilo ungepiga kimya kwanza badala ya kuropa mpaka hiyo idadi yako ya mechi
 
Back
Top Bottom