baba paroko [emoji23] j'2 tunaomba location tujeNapenda kukili kila mmoja wenu hapa jf natambua uwepo wake ila ntawataja wachache:
SAKAYO
Shunie,
dem boy,
mamaafacebook
gbefa,
Zamiluni Zamiluni,
black woman,
kituko,
alibakari,
Ms lincolin,
mshana jr,
the boss,
bbc,
Evelyn salt,
dinazarde,
Sky Elcat,
QUIGLEY,
mtebetini,
Rahabu,
lizarazu,
fakalava,
heaven on Earth,
BLACK MARXIST
honey faith,
atug
stable woman
stunter,
werrason,
Mo 11 nk
HeheheHahahahh kumtafuta Mungu ni kazi hivyo jamani dear, wewe na shunie nitahitaji muda wa ziada kuwafundisha na kuwapa mafundisho ya kumjua bwana, mje kwenye kwaya kwanza.
hahahahhYaani nyie kwa kujiBashite hamjambo, hamjui maana ya watatu lakini???
Asante mkuu toxic9, ila hizo herufi kubwa zantisha, isije kuwa ndo natakiwa central
sio mafundisho kwanza ya neno baba paroko ndio tuanze nayoHahahahh kumtafuta Mungu ni kazi hivyo jamani dear, wewe na shunie nitahitaji muda wa ziada kuwafundisha na kuwapa mafundisho ya kumjua bwana, mje kwenye kwaya kwanza.
Kesho ni kwaya, hebu uanzie hapo kwanza.baba paroko [emoji23] j'2 tunaomba location tuje
tunapendana [emoji8]So tunapendana!! [emoji7] [emoji7] [emoji7]
hahahhahNdo maana nimegoma kwenda, hebu mkwende nyie mkuje kunipa mrejesho
hii sauti kama ya chura kwaya hainifai [emoji23]Hehehe
Shunie atakuja kwaya, si unajua ana sauti ya kwanza??
hahahhh huko kumenishinda mmKesho ni kwaya, hebu uanzie hapo kwanza.
Najua una sauti ya kwanza my dear
Nimekuja hapa kwa jambo moja tu...Hehehe
Shunie atakuja kwaya, si unajua ana sauti ya kwanza??
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] uliniona wapi ambako kunaleta mashaka juu ya utumishi wangu, mwendokasi sipigi, bangi ndiyo kwanza sio rafiki, chuchu saa sita ndiyo wala sipendi, [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]hahahhah ila huyu baba paroko huyu na wasi wasi nae sana
Kule jukwaa la wakubwa naambiwa umenunua hisa za kutosha...hahahhh huko kumenishinda mm
Mmh sakayo nabii umemuona [emoji23]Nimekuja hapa kwa jambo moja tu...
Moyo wangu umenituma nikuletee salamu... uzipeleke kwa moyo wako...
Yawezekana mimi na wewe tusipendane, lakini moyo wangu umenambia una siri kubwa ya moyo wako...
shikamoo moyo wa Sakayo
Rudi nyuma shetani, kikombe alichonipa baba, sitakinywa???Mmh sakayo nabii umemuona [emoji23]
baba paroko kule jukwaa pendwa unafanya nn ushaamua kumrudia Mungu kisingizio utasema unakuja fata kondoo waliopotea[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] uliniona wapi ambako kunaleta mashaka juu ya utumishi wangu, mwendokasi sipigi, bangi ndiyo kwanza sio rafiki, chuchu saa sita ndiyo wala sipendi, [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Baba paroko anajua kupanga watu kulingana na sauti zao, hebu nenda kwaya jamanihii sauti kama ya chura kwaya hainifai [emoji23]
kwaresma hii siingii kabisa kule Babu tutaonana ikiishaKule jukwaa la wakubwa naambiwa umenunua hisa za kutosha...
Umeamua kabisa kukata tiketi ya motoni???
Hii ni Kwaresma!!
Nenda tu bwana, Mungu anataka umtumikie [emoji125] [emoji125]hahahhh huko kumenishinda mm