Taja watu watatu wanaokufanya uendelee kuipenda JF

Taja watu watatu wanaokufanya uendelee kuipenda JF

Aisee kuna hawa watu watatu huwa nainjoi sana mambo yao..
Numbisa & Asprin hawa watu hua wananifurahisha jinsi wanavyotaniana kwa mipicha ya mpaka naonekana Chizi kwa kucheka..
Pia mshana jr ananifurahisha kwa nyuzi zake za picha picha za vichekesho..
 
Aisee kuna hawa watu watatu huwa nainjoi sana mambo yao..
Numbisa & Asprin hawa watu hua wananifurahisha jinsi wanavyotaniana kwa mipicha ya mpaka naonekana Chizi kwa kucheka..
Pia mshana jr ananifurahisha kwa nyuzi zake za picha picha za vichekesho..
Kwa niaba ya Numbisa , napenda kutoa shukrani sana kwa upendo wako kwetu.
vvv.jpg
 
1. Mayassa aka mama gaude
2. Bebeku - mshenga wangu huyu
3. PAW- jitu la kale lenye midevuuu
 
Aah aaah we usiotajwa katika huu uzi jitafakari upo humu kwa faida gani..... je hakuna wanaofaidika na uwepo wako....

Na km weww ni kunyonya tu.... basi jiulize kwa nini usinyonywe.... hauna maziwa au nin?

Tafakari chukua hatua.
 
Wakuu leo nataka tutaje watu watatu ambao wanaokufanya uendelee kuipenda JF kiasi kwamba usipoingia JF unakuwa unawakumbuka sana

Pia hata ukisikia hizi tetesi za huenda huu mtandao wetu pendwa ukifungiwa utawamiss sana

Tukianza na mimi nawakubali hawa

1)Mo 11

Huyu dogo huwa nacheka sana kila nikiona comment yake


2)Le mutuz

Huyu jamaa huwa pia ananifurahisha sana aisee mpaka najiuliza kama alishawahi kuugua ukichaa enzi za utoto wake maana majibu yake na umri wake aisee ni vitu viwili tofauti

3)Brave one

Huyu dogo naye thread zake zimetulia sana ,ukitaka thread za mastaa basi mtafute huyu jamaa mpaka najiuliza huyu jamaa

anapataga wapi habari maana zingine ni nyeti sana yani.


Kama unamuhusudu mtu mwehu kama madam lemutuz basi uko njiani kufuata nyendo zake
 
Mimi Yule mpiga Ban ndio namkubali peke yake! Bila nidhamu humu ninge-sepa zamani sana aisee.
 
Back
Top Bottom