1. Careful na majina ya watu, so far so good, we are doing just fine, mimi sijawahi kusoma hapa nikashindwa kuelewa anayesemwa ni nani, au ni kiongozi gani,
2. Wazo la GT ni sawa kabisa, na halina ubaya wowote, isipokuwa so far ni wazo, anayetaka anaweza kulikubali na kuanza kuweka majina, au kumtumia majina huko pm, au kukataa,
3. the bottom line ni kuwa ukiweka jina la kiongozi au mwanachi, bila mpangilio au uhakika wa unachofanya, hiyo ni responsibility yako wewe mwenyewe, na wamiliki wa JF, lets be real on that,
Otherwise, tujifunze kutumia pm, maana ndio hasa kazi yake, kuuuliza usichoelewa kwenye uwanja kabla hujakurupuka, idea ni nzuri sana mkulu GT, ila wanaotaka kufanya hayo wahahkikishe wana ubavu, hakuna asiyependa kutaja majina, lakini kila ishu ina season na time yake, ndio maana huwa tuna dataz nyingi sana believe me tukiamua kuziweka hapa hapatatossha, lakini huwa kuna kusubiri timing, na pia kama wewe huwezi ni kumpa mwingine aziweke, sifa ni kwa JF kwanza sisi baadaye!
Ahsante Wakuu!