Waziri wa afya akisema afya ya akili mnajifanya hamuoni tatizo, Madhara yake ndio haya sasa shabiki mwandamizi na Simba lialia toka jana karukwa na akili.
Shabiki huyo kindakindaki mambo yamenwendea kombo baada ya kila kitu kugonga mwamba. Shabiki huyo mwenye kutokea kanda ya ziwa ambae watani zake wanatokea mikoa ifuatayo Mara, Mwanza, Kigoma, Kagera, Singida, Dodoma hasa Kondoa, akili zimefyatuka bila kujijua.
Waliomuona hasa watani zake wanehamaki maana ameanza kutembea akijisema kama mwehu kabisa.
Mtajeni ili apate msaada.
Shabiki huyo kindakindaki mambo yamenwendea kombo baada ya kila kitu kugonga mwamba. Shabiki huyo mwenye kutokea kanda ya ziwa ambae watani zake wanatokea mikoa ifuatayo Mara, Mwanza, Kigoma, Kagera, Singida, Dodoma hasa Kondoa, akili zimefyatuka bila kujijua.
Waliomuona hasa watani zake wanehamaki maana ameanza kutembea akijisema kama mwehu kabisa.
Mtajeni ili apate msaada.