Tajiri huyu kwa kuepuka na kuogopa ushindan anashirikiana na baadhi ya wanachama na viongoz wa Simba wasio waaminifu kwa kuwalipa pesa kiasi cha kuanzia 100,000- 200,000. Wampinge Mo Dewj ili Simba iendelee kusota kwa miaka ming ijayo wakiifanyia hujuma n.k
Hayo yamethibitishwa na baadh ya wanachama ambao wamechukua pesa na bado wanasema wanataka Mo Apewe Simba.
Ntawaletea habari zaidi.