Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Ingia mtaani tafuta mtajiEeeehhh tupe mtaji tajiri
Endelea kujidhidishia umasikini Kwa kuendeleza sikukuuLeo sikukuu mkuu acha tupumzike kidogo
Halafu kwa mtu anayeacha kodi ya meza ya 10k siyo maskini huyo maana hiyo ni zaidi ya dollar 1 maana maskini ni wale wanaoishi chini ya dollar 1 bwana tajiri
Tafuta helaTajiri gani Mipasho kilasiku, kama Isha Mashauzi.
Alaf yy anamvizia mkeo mnapshana kwaiyo tuwape heshma kwa kuwafksha wake zetu klelen mkeo waweza kla ktu ukamwachia ila 🤣🤣🤣 aiseee wanawake kumbe iyo yote aliacha kwa baba yake kaz n pale 👄👄Aisee nyie masikini mnapata nguvu ya kulala mpaka Sasa hivi wakati tajiri nimeamka embu amkeni mkatafute hela nyie masikini nimeshasema wanawake msiwapende Hawa wanaume masikini sababu hawana haki ya KUPENDWA tajiri nimeshaongea Mimi Kila siku naacha Kodi ya meza million 2 Kwa mke wangu mmoja nashangaa masikini mnaoacha elfu 10 hivi hii ni pesa ya matumizi Kwa siku au takataka
Wenye hela wote wewe ndo uliwahamasisha wazitafute?Tafuta hela
Ninakula sana wake zenu masikini tatizo kubwa wanalalamika ni pesa aisee poleniAlaf yy anamvizia mkeo mnapshana kwaiyo tuwape heshma kwa kuwafksha wake zetu klelen mkeo waweza kla ktu ukamwachia ila 🤣🤣🤣 aiseee wanawake kumbe iyo yote aliacha kwa baba yake kaz n pale 👄👄
Tafuta hela binti hasira hazitokusaidiaKama kweli wewe ni Tajiri tuonyeshe marinda Yako Kwa clip isiyopungua sekunde 15 tu.
NdioPesa yako yatosha kunirudishia umri wangu to 16 years old?
Aisee nyie masikini mnapata nguvu ya kulala mpaka Sasa hivi wakati tajiri nimeamka embu amkeni mkatafute hela nyie masikini nimeshasema wanawake msiwapende Hawa wanaume masikini sababu hawana haki ya KUPENDWA tajiri nimeshaongea Mimi Kila siku naacha Kodi ya meza million 2 Kwa mke wangu mmoja ambayo nyie masikini hamjawahi kuishika hii ni pesa ya matumizi Kwa siku tu
Tajiri halali masikini ndio mnalala sababu hamna Cha kufanya mnaamua kulala Ili siku iisheTajiri mhangaikaji ni masikini aliyechangamka... Matajiri tumelala biashara zetu zinajiendesha zenyewe
Tafuta hela