Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Aisee nyie masikini mnapata nguvu ya kulala mpaka sasa hivi wakati tajiri nimeamka embu amkeni mkatafute hela nyie masikini.
Nimeshasema wanawake msiwapende hawa wanaume masikini sababu hawana haki ya KUPENDWA.
Tajiri nimeshaongea Mimi Kila siku naacha Kodi ya meza million 2 Kwa mke wangu mmoja na nina wananwake wa 5 ambayo nyie masikini hamjawahi kuishika hii ni pesa ya matumizi Kwa siku tu.
Nimeshasema wanawake msiwapende hawa wanaume masikini sababu hawana haki ya KUPENDWA.
Tajiri nimeshaongea Mimi Kila siku naacha Kodi ya meza million 2 Kwa mke wangu mmoja na nina wananwake wa 5 ambayo nyie masikini hamjawahi kuishika hii ni pesa ya matumizi Kwa siku tu.