Tajiri nimeamka, masikini bado mmelala

🤣🤣🤣 mwanamke ata upe mbingu ataliwa na ss waendasha mikokoten na kod ya meza n 5000 mpaka 10000 na maisha inasonga ila kumbuka hapo chn atupshan tunaoza wote
Tafuta hela masikini wewe acha kujifariji umasikini hauna tuzo
 
Tafuta hela dogo acha kushobokea brand za wanaume wenzako. Utapakatw*
 
Utoto raha sana.
Umeamshwa na shemeji yako ufagie uwanja wa nyumba yake, unakimbilia kitecno chako nakuanza kupost upuuzi.
Hongera lakini, maana kila kitu kinaanzia ndotoni, kaza kamba ipo siku utazifika lavel zetu wakurungwa.
 
Utoto raha sana.
Umeamshwa na shemeji yako ufagie uwanja wa nyumba yake, unakimbilia kitecno chako nakuanza kupost upuuzi.
Hongera lakini, maana kila kitu kinaanzia ndotoni, kaza kamba ipo siku utazifika lavel zetu wakurungwa.
Tafuta hela masikini wewe acha kulialia hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…