Tajiri nimeamka, masikini bado mmelala

 

Attachments

  • IMG_20240824_065438.jpg
    89.4 KB · Views: 3
Mwamba Chief Godlove uko vizuri utafika mbali
Acha shobo, utatapeliwa wewe. Hana utajiri wowote. Hakuna tajiri mwenye kelele duniani.

Huyo ni kapuku mwenzako tu sema anawaseti wapuuzi kama nyie muingie king awapige kama yule jamaa wa Vanila Village, kama Kalyanda au mr. Kuku.

Kaona fursa ya wajinga kama nyie JF na atawaliza muda si mrefu kama yule jamaa wa Bitcoin na Qnet alivyowapiga.
 
wewe huna hela hela na huna akili pia, na hujui huna akili maana kujua huna akili inahitaji akili pia, then kwako ni taflani

wenzako tunatumikisha hela, ili zilete nyezake sasa wewe unafanya kazi ili upate pesa ndio maana unaamka mapema,
na hujijui kuwa una elements za umakisn naturally
 
Tafuta hela gazeti lote la nini hili we masikini silisomi
 
Tafuta hela masikini wewe
Me natafuta Madini (aina ya Ruby) ili nipate pesa.
Wiki iliopita nilipata point 5 ya Ruby nikaiuza 200k miticais, sawa na milioni 8 shilingi ya tanzania na sikuweka matangazo wala nini, ndio kwanza najindaa kwenda kuponchi tena leo.
Tatizo munaoishi kwa hisani ya dada zenu, mukipewa laki moja tu na shemeji zenu tayari munajiita matajiri.
Tajiri utakuwa wewe bhanaa!
 
Tafuta hela masikini wewe
 
Mke utamtoa wapi we marinda huna ushavuliwa ubingwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…