Tajiri nimeamka, masikini bado mmelala

Tajiri nimeamka, masikini bado mmelala

Mke utamtoa wapi we marinda huna ushavuliwa ubingwa.
Huyo hapo na ID yake ya zamani.
Screenshot_20240916_083311_Samsung Internet.jpg
 
Tuache na umasikini wetu wenyewe tumeridhika! Watu wengine tukiwa matajiri tutawatesa wake zetu. Upendo huu wa kimasikini ndio usalama wetu.
 
We si juzi tu ulikua unatikisa kalio kwenye garage ya said lugumi
 
Aisee nyie masikini mnapata nguvu ya kulala mpaka sasa hivi wakati tajiri nimeamka embu amkeni mkatafute hela nyie masikini.

Nimeshasema wanawake msiwapende hawa wanaume masikini sababu hawana haki ya KUPENDWA.

Tajiri nimeshaongea Mimi Kila siku naacha Kodi ya meza million 2 Kwa mke wangu mmoja na nina wananwake wa 5 ambayo nyie masikini hamjawahi kuishika hii ni pesa ya matumizi Kwa siku tu.
Huyu sass anajua matumizi ya hela.
Safi sana kidu.e ukiwa na hela unatakiea muwa na wake wengi ata kumi kama hela inaruhusu
 
Back
Top Bottom