Tajiri wa kupindukia ameweka dau la kufa mtu iwapo Eliud, Mkenya atavunja rekodi yake mwenyewe

Tajiri wa kupindukia ameweka dau la kufa mtu iwapo Eliud, Mkenya atavunja rekodi yake mwenyewe

Watanzania wenye chuki hawatapatikana huku. Wenye roho safi tu ndio watakaotoa comment zao.
Unaonekana una homa ya utanzania, unakereketwa na watanzania na unaubabe na majivuno ya ukenya, usiwe hivyo ndugu sote tuko sawa kibinaadamu. Mungu akipenda Eliud atavunja record yake. BAKI SALAMA Eliud, BAKI SALAMA Tony254.
 
Watanzania wenye chuki hawatapatikana huku. Wenye roho safi tu ndio watakaotoa comment zao.

Hamna chuki kwa Mkalenjin, Wakalenjin hawana shida na mtu. Shida mnayo nyie watoto wa Mumbi.
Yamune!!!
 
Waafrika tunaongoza kutumia nguvu tuu akili hamnaa kitu

Sawa hata nguvu ni kipaji, tumia vizuri kile ulichonacho, hata dushe kama unayo inayopendeza kwa wadangaji, itumie ipasavyo..
 
It's a matter of time, huyu antidoping itadeal nae sababu wakenya wengi wamefungiwa
 
Hamna chuki kwa Mkalenjin, Wakalenjin hawana shida na mtu. Shida mnayo nyie watoto wa Mumbi.
Yamune!!!
Wacha ukabila. Ulifunzwa na Mwalimu Nyerere kwamba ukabila ni sumu lakini wewe husikii.
 
Huyo Kipchoge sio mtu mzuri kabisa
Wale wale kina kiptech,koet na kipketer wapo wapi au umri umewatupa mkono
Team kenya ukishindana nao,wanaweza kukufumua mbavu,wanakusakizia watu kama watano wakuchoshe,huku bingwa wao yupo nyuma anavuta pumzi.
Khalid Skah wa Morroco hana hamu na wakenya
 
Back
Top Bottom