Tajiri wa Morogoro Abood najua leo una Furaha kwa Adui yako mkubwa DC Msando Kuhamishwa

Tajiri wa Morogoro Abood najua leo una Furaha kwa Adui yako mkubwa DC Msando Kuhamishwa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Za ndani nilizozipata kutoka kwa Chawa Wako zinasema leo Jioni utakutana nao mahala na Mzinywe na Wale sana kwani Mtu aliyekuwa akikunyima Usingizi Wakili Albert Msando aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Morogoro uliyoko amehamishwa na Mkeka mpya wa Mama.

Ila kwa DC Msando alivyowekeza hapo Wilayani Morogoro nina uhakika hiyo 2025 akitinia Nia na Kugombea nawe Ubunge wa hapo anaoutaka sana atakushinda japo nawe umeshaweka Mizizi yako ukijumlisha na Pesa zako ambazo huwa Unazimwaga mno kwa Watu (Chawa) na Wapiga Kura wa Mambuzi Party.
 
Msando huyuhuyu mamluki ampige chini aboud ....BIG NO
Umesikika... Promax.. [emoji116]
FB_IMG_1674104919787.jpg
 
Za ndani nilizozipata kutoka kwa Chawa Wako zinasema leo Jioni utakutana nao mahala na Mzinywe na Wale sana kwani Mtu aliyekuwa akikunyima Usingizi Wakili Albert Msando aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Morogoro uliyoko amehamishwa na Mkeka mpya wa Mama.

Ila kwa DC Msando alivyowekeza hapo Wilayani Morogoro nina uhakika hiyo 2025 akitinia Nia na Kugombea nawe Ubunge wa hapo anaoutaka sana atakushinda japo nawe umeshaweka Mizizi yako ukijumlisha na Pesa zako ambazo huwa Unazimwaga mno kwa Watu (Chawa) na Wapiga Kura wa Mambuzi Party.
pot nilijuaga zimo, kumbe hamna kitu
mkuu wa wilaya anawezaje kumpelekesha mbunge na tajiri
rudi butiama ukalime
 
Za ndani nilizozipata kutoka kwa Chawa Wako zinasema leo Jioni utakutana nao mahala na Mzinywe na Wale sana kwani Mtu aliyekuwa akikunyima Usingizi Wakili Albert Msando aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Morogoro uliyoko amehamishwa na Mkeka mpya wa Mama.

Ila kwa DC Msando alivyowekeza hapo Wilayani Morogoro nina uhakika hiyo 2025 akitinia Nia na Kugombea nawe Ubunge wa hapo anaoutaka sana atakushinda japo nawe umeshaweka Mizizi yako ukijumlisha na Pesa zako ambazo huwa Unazimwaga mno kwa Watu (Chawa) na Wapiga Kura wa Mambuzi Party.
mijitu ya ccm shida sana
 
Za ndani nilizozipata kutoka kwa Chawa Wako zinasema leo Jioni utakutana nao mahala na Mzinywe na Wale sana kwani Mtu aliyekuwa akikunyima Usingizi Wakili Albert Msando aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Morogoro uliyoko amehamishwa na Mkeka mpya wa Mama.

Ila kwa DC Msando alivyowekeza hapo Wilayani Morogoro nina uhakika hiyo 2025 akitinia Nia na Kugombea nawe Ubunge wa hapo anaoutaka sana atakushinda japo nawe umeshaweka Mizizi yako ukijumlisha na Pesa zako ambazo huwa Unazimwaga mno kwa Watu (Chawa) na Wapiga Kura wa Mambuzi Party.
Msando kapelekwa wapi chief?
 
Back
Top Bottom