GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Za ndani nilizozipata kutoka kwa Chawa Wako zinasema leo Jioni utakutana nao mahala na Mzinywe na Wale sana kwani Mtu aliyekuwa akikunyima Usingizi Wakili Albert Msando aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Morogoro uliyoko amehamishwa na Mkeka mpya wa Mama.
Ila kwa DC Msando alivyowekeza hapo Wilayani Morogoro nina uhakika hiyo 2025 akitinia Nia na Kugombea nawe Ubunge wa hapo anaoutaka sana atakushinda japo nawe umeshaweka Mizizi yako ukijumlisha na Pesa zako ambazo huwa Unazimwaga mno kwa Watu (Chawa) na Wapiga Kura wa Mambuzi Party.
Ila kwa DC Msando alivyowekeza hapo Wilayani Morogoro nina uhakika hiyo 2025 akitinia Nia na Kugombea nawe Ubunge wa hapo anaoutaka sana atakushinda japo nawe umeshaweka Mizizi yako ukijumlisha na Pesa zako ambazo huwa Unazimwaga mno kwa Watu (Chawa) na Wapiga Kura wa Mambuzi Party.