Tajiri wa Morogoro Abood najua leo una Furaha kwa Adui yako mkubwa DC Msando Kuhamishwa

Tajiri wa Morogoro Abood najua leo una Furaha kwa Adui yako mkubwa DC Msando Kuhamishwa

The guy was very smart and has changed Morogoro town significantly.. Huwa sielewi mimi lengo la haya mabadiliko... Yaani mtu ambaye ameleta mabadiliko makubwa abaobdolewa na kuleta mpya ili kuanza upya au kurudi nyuma hatua kadhaa...
Siyo Team Mama ( SSH ) Mkuu na hata huko alikopelekwa mwaka huu huu 2023 au mwakani 2024 anaenda Kuondolewa mazima kama ilivyofanyika / ilivyotokea kwa Jerry Muro. Niamini 100% kwa hili Mkuu.
 
Msando kapelekwa wapi chief?
Wilaya moja yenye Wachawi Wallioshindikana katika Mkoa ambao Timu yake iliyoko Ligi Kuu ya NBC Jumamosi hii ijayo ( tarehe 28 January, 2023 ) Saa 1 Kamili Usiku itacheza na Simba SC katika TFF ASFC Mkapa Stadium.
 
Very creative na reasoning capacity yake iko vizuri
Kwangu Mimi huyu ni Prime Minister Material kwa Rais ajaye wa Tanzania mwaka 2025, japo najua kwa Wivu, Chuki na Uswahili wetu hatokuwa.
 
Hakuna lolote la maana alilofanya zaidi ya ule uchafu pale soko la kingalu na kufukuzana na noah za gairo
 
Back
Top Bottom