GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Siyo Team Mama ( SSH ) Mkuu na hata huko alikopelekwa mwaka huu huu 2023 au mwakani 2024 anaenda Kuondolewa mazima kama ilivyofanyika / ilivyotokea kwa Jerry Muro. Niamini 100% kwa hili Mkuu.The guy was very smart and has changed Morogoro town significantly.. Huwa sielewi mimi lengo la haya mabadiliko... Yaani mtu ambaye ameleta mabadiliko makubwa abaobdolewa na kuleta mpya ili kuanza upya au kurudi nyuma hatua kadhaa...