Tajiri wa Simba haidi tena nguruwe octb 19 kila goli umekuwa kimya sana na simba yetu

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Huyu mmh anaipenda sana simba

Na n mfanyabiashara maarufu sana huko dom

April alihaidi kutoa nguruwe 5 kila goli nahisi alijua hawashindi

Sasa this tym katoa pesa kwa kamara wa simbaaaa kwa kuisaidia simba

Wanasimba tunaombaa ahaidi tenaa nguruwe tano kila goli na asiseme mpaka kushindaa

Ushindi n changamoto sanaa kwa Yanga hivisasa hiivyoo atupe tu hizo nguruwe hata tukifungwa hali tumefunga goli

Simbadaima

Bishana mpaka kufa
 
Ty3
 

Attachments

  • Screenshot_20240925-015825_Gallery.jpg
    341.5 KB · Views: 5
 
Huyu niachieni, mwanangu wewe kundu kweli
 
We Utopolo Simba inakusumbua sana.
Mbona ametoa laki tano kwa Cammara baada ya mechi ya Libya na Ahli Tripoli
 
Anakunyima raha yaelekea, maana umemuanzishia nyuzi mfululizo. Acha afaidi nguruwe wake

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…