Tajiri Zackaria Hans poppe amerejea rasmi Simba

Wewe jamaa kwa mikwara, ungekuwa nayo yakusema ungesema ulivyo mbea

Najua unataka niseme ili ' nikufaidishe ' ILA kwa kuujua umuhimu wa utulivu wa Klabu ya Simba SC siwezi nikasema hapa nini kitu gani isipokuwa nina uhakika kabisa kuwa wale ' Mashabiki ' wa Simba SC tuliokuwepo pale katika lile ' sekeseke ' siku ile Taifa tunajua ni nini Hanspoppe alitaka kumfanyia Kaburu.

Kwa kukusaidia kwakuwa nimeshakuona ni ' Mpuuzi ' fulani hivi kama una mawasilino na Watu hawa Watatu Aden Rage, Profesa Juma Kapuya na Zitto Kabwe watafute na waulize waliamulia ' mtafaruku ' gani Taifa mwaka jana wakati Simba SC ilipocheza na JKT Ruvu baina ya Hanspoppe aliyekuwa katika Kiwango chake bora cha hasira huku Kaburu akiwa ' anatetemeka ' huku ' anafikicha fikicha ' tu ' Vijicho ' vyake.

Halafu kama ungeweza ningeomba ' ufafanuzi ' mzuri na wa kina kabisa wa neno ' Mbea ' ili niweze kukujibu vizuri kusudi siku nyingine tu ukiiona hii ID uiheshimu na ukae nayo mbali kwani naona ni kama vile ' taratibu ' unajijaza mwenyewe katika ' frame '.
 
Wewe mnyarwanda umeyajulia wapi mambo ya Simba kama sio umbea?
 

Kumbe ninapokuwa ' nawadharau ' baadhi yenu humu JF kwa kuwa ' Wapumbavu ' huwa sikosei. Leo unanitaka nikupe sababu zilizomfanya Hanspoppe kurejea Simba SC wakati hata Yeye mwenyewe jana na leo ' amekataa ' kusema nini ' kilimsibu ' je unadhani nitakuwa na uwezo tena wa kujua alikumbwa na nini? au unataka na Mimi niwe ' Mbashiri ' kama walivyo ' Waswahili ' wengine?

Yaani maswali yako yote uliyouliza hapo juu yapo very ' blanketed ' na too ' illogical ' na yameweza pia kunisaidia kujua Wewe ni Mtu wa aina gani hasa ' Kiupeo '. Wewe umeletewa ' Breaking News ' ya ' urejeo ' wa Zackaria Hanspoppe ' Kundini ' hivyo hayo mambo mengine unayotaka kuyajua subiri Uongozi uitishe Press Conference ndipo unaweza ukawa katika nafasi nzuri kabisa ya kulizungumzia hili kwa Kina kabisa.

Please next time try to reason like a real Intellectual and Great Thinker. All the best!
 

Huyu ' Jamaa ' ni zaidi ya ' Mafia ' halafu ninachomkubali ' haogopi ' lolote na ' anajiamini ' mno. Huyu kweli ndiyo Mwanajeshi siyo hawa wengine ambao ' tukiwapiga ' tu ' mikwara ' humu Kitaani wanakimbilia Kambini kuita Wenzao kuja kupoteza ' Calories ' zao kupambana / kupigana tu na Raia mmoja ( 1 ).

Wanajeshi Vijana wa siku hizi ' igeni ' uimara huu wa Captain wenu za zamani Mzee Zackaria Hanspoppe wa Kujiamini na kutokuwa Waoga.
 
Genta Mimi nakupata vilivyo, na niongezee nyama hapo kuwa ni kweli Mzee amefuta kauli, na asubuhi nilimuona somewhere akatamka pia, so kuna some people wanataka ubishi bila kuwa na uwezo wa ubishani au kuwa na taarifa kamili, binafsi nisichokijua huwa sishabikii
 
palipo na wanaume hapaharibiki Neno
 

Attachments

  • FB_IMG_1494842896402.jpg
    73.6 KB · Views: 45
Yote kwa yote YANGA bingwa
 
Dunia hii haina jipya. Wamenakili kwa Hussein Tindwa aliyefanyiwa kama hivyo na timu yake pale Uwanja wa zamani wa Taifa. Sema tu hii ya Yanga ilizumuliwa kidogo, mwenzake Tindwa alifariki kabisa!

Yanga FC wana ' Uchawi ' wa Kipumbavu sana Mkuu yaani juzi ile bila juhudi za ' Kiganga ' ambazo zilifanywa mule ' Chumbani ' na yule Mganga wao Mkuu wa Bagamoyo almaarufu ' Babu Bingwa ' Simon Msuva leo angeshakuwa ' Marehemu '.

Wenzao Simba SC baada ya kujifunza kutoka kwa Marehemu Tindwa tuliachana kabisa na huo ' Uchawi ' na alipokuja Merehemu Mzee Bamchawi alituletea ' Uchawi ' mpya ambao kwa heshima na taadhima ya Klabu yangu sitouweka hadharani hapa ila ni Uchawi ambao haumdhuru Mchezaji na ni wa Kistaarabu sana.

Yanga FC badilikeni na aina hii ya Uchawi wenu na nawaomba sasa Wachezaji wote wa Yanga FC wakiwa wanapewa tu Jezi zao za Kuvaa katika mechi basi wawe Kwanza wanazikagua katika pindo za ama Jezi au Bukta zao kwani mara nyingi ' Hirizi ' ndiyo hushonewa huko. Na hili linafanyika baada ya kuonekana kuwa karibia Wachezaji wote wa Yanga FC ukiondoa tu Mchezaji Mpenda ' Ushirikina ' Yanga FC nzima Nahodha Nadir Haroub Cannavaro na mwenzake Juma Abdul hawapendi ' ushirikina ' hivyo hulazimika kuwashoneshea ' Hirizi ' kwakuwa kuna baadhi yao huwa na ' Nyota ' kali ya ushindi kwa Timu.

Bora hata ya Mshambuliaji wao Obren Chirwa yeye kaamua tu rasmi kubeba ' Hirizi ' yake ambayo mara nyingi huitumia katika kila mechi ya huiweka ' Kiganjani ' kisha anaifungia na ' Bandage ' ili ' kutuzuga ' kama vile ana matatizo ya mkono ILA ' Watoto ' wa mjini na tunaolijua Soka la Bongo mwanzo mwisho tunajua nini anachokifanya.

Pole sana mdogo wangu Simon H. Msuva siku nyingine uwe unaikagua vizuri ' Jezi ' yako ili ukikuta tu ' Hirizi ' imeshoneshewa ' ugome ' kucheza vinginevyo Yanga FC ' wataakua ' kwa ' Ushirikina ' wao waliouzoea.
 
Mashabiki wa simba walivyokuwa wanamzonga na kulizonga gari lake aliwaita wapumbavu halafu akakanyaga accelerator 120 nusu awavunje miguu bahati walimpisha ..
 
Pa1 na kuwa na lundo la watu wote hao pa1 huyo tajiri no 1,YANGA bingwa msimu huu na msimu ujao pia,nyie msahau ubingwa wa bara, njia pekee ya nyie kuwa mabingwa ni kuhamia ligi ya zenj tu,bara hamna chenu hata hilo timu lenu mkimuuzia roman abramovich ubingwa hamuwezi kuupata
 
Duuh poleni wa matopeni sisi hatubembelezagi mtu
 
Tena kwa kuongezea ni rahis sana kwa paka kubebeshwa mimba na panya ,
Kuliko simba kuchukua ubingwa wa
Vpl Tanzania
 
Samahani mkuu. Weka taarifa sawa kuhusu ajira yake jeshini. Alihukumiwa kwa kesi ya uhaini wakati wa Nyerere na akina Eugene Maganga,Deutrich Mbogoro, .Alipata msamaha wa Mzee Mwinyi

Rudi huko ' walikokudanganya ' na kawaambie wakupe ' taarifa ' sahihi ILA Mimi ninachokijua ni kwamba aliyekuwa na ' matatizo ' na Nyerere alikuwa ni Kaka yake Mkubwa hivyo baada ya hili jambo kutokea na kuonekana kwamba labda Familia yao nzima isingeaminika tena na Serikali ndipo Baba Mzazi wa Zackaria akamuamuru Mwanae huyu aachane na Jeshi la Wananchi Wa Tanzania ( JWTZ ) ndipo akajikita mno katika kumuendeleza Mwanae Kibiashara hadi hivi leo na ndiye Yeye ( Zackaria ) aliachiwa ' Jukumu ' kubwa la kulea Familia nzima ya Mzee Hanspoppe mwenyewe ( Senior ) jukumu ambalo analifanya vizuri sana na kwa mafanikio makubwa mno.

Hata hivyo sihitaji tena ' Mjadala ' wa Kesi zao bali ' tujikite ' tu katika masuala yetu haya ya Mpira wa Bongo na ' Fitna ' zake tafadhali sawa?
 

Unataka ukweli gani tena mwingine Mkuu? Ina maana huniamini? Hanspoppe amesharudi ' Kundini ' na labda nikuombe tu kuwa usikae mbali na Media au Social Platforms zingine kwani muda wowote ' Tajiri ' na mwenye Timu yake Mohammed MO Dewji nae ' anabatilisha ' uamuzi wake na ataendelea ' kuidhamini / kuifadhili / kuisaidia ' Simba SC mpaka pale Simba SC watakapochoka wao.

Vyanzo vyangu vya Habari naviamini kama vile ambavyo namuamini Yesu Kristo wa Nazareth aliyen hai. Hallelujah!!!!!!!
 
Linalowezekana kwenye siasa hata kwenye soka lawezekana. Karibu tena msimbazi kapteni mstaafu, walishaanza mipango ya kuiuza timu yetu kwa wachapalapa ili tukose vyote
 
Hakuachana na jeshi miaka ya mwisho ya 80. HansPope ni kati ya waliokuwa watuhumiwa wa uhaini wakitaka mpindua JKN. Alihukumiwa maisha na baadae kuachiliwa huru na BWM.
Nawe umevurunda,ameachiwa na mzee AHM mwaka 1995
 
Nimeshangaa kuna mtu anapotosha Hanspope ni askari aliyehusishwa na uhaini, akafungwa kifungo cha maisha, alipata msamaha toka kwa rais mstaafu Mwinyi, tusiwapotoshe watu,... Simba hadi mnatia huruma, sasa mnzungumzia uchawi karne hii, inasikitisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…