Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi kilimo cha mchanga,kilimo cha faruMhmm kumbe uongozi wa magufuli utapelekea kweli watu kuwa wabunifu tutafupa mpaka siafu mwaka huu
Ni mradi mzuri sana na ni moja kati ya harakati za kujikomboa kiuchumi. Ila hapo kwenye usafi wa mara kwa mara ndipo patakapoleta matatizo. Hivi kuingia banda la nyoka mara tano au sita kwa siku si ndo kutafuta kifo cha kugongwa na nyoka!Kilimo cha nyoka ni moja ya kilimo yenye faida sana ,mmoja anaweza akaanzisha kilimo hichi ukizingatia thamani ya "snake venom" ipo juu sana.Sumu ya nyoka inatumika kwa wingi kwenye viwanda vya famasia na viwanda vya vipodozi hivyo thamani ya "snake venom " ipo juu sana kutokana na uhitaji wake.
Gram moja ya "snake venom " kwa soko la kimataifa inauzwa $1880 ,na kwenye soko la Afrika kusini inauzwa kwa makadirio ya Rand 25,000
*Kama unafikiria kuanzisha shamba lako la nyoka ,yafuatayo ni mambo muhimu ya kuzingatia ili uweze kupata faida ya kutosha kutokana na venom wanayozalisha Nyoka
1.zingatia hali ya joto na hewa .
Nyoka wanahitaji joto ya kiwango cha 24-29 degrees Celsius nyakati ya siku na 21-24 nyakati za usiku,
2.mabanda na nyumba za nyoka zinahitaji kusafishwa mara kwa Mara
Hali hiyo itasaidia kukuza uzalishaji wa nyoka kwa wingi.Nyoka wanahitaji kuwekwa mahali salama kuzuia matatizo yeyote ile ya kiafya kuwapata.
3.Nyoka kwa kawaida hula panya 3-4 na hulishwa kwa wiki 3-4 .Nyoka hula panya walio hai lakini wanaweza kula waliokufa pia ,Nyoka hupenda kucheza na panya mwanzo kabla ya kuwala hivyo ni vema kuwapatia walio hai.
Faida 3 za ufugaji wa nyoka
1.uzalishaji wa venom ambayo ukiuza unapata kiasi kikubwa cha pesa.
2.hupunguza na kutokomeza wadudu waharibifu kama panya nk.Nyoka chakula chao kikuu ni panya hivyo husaidia kutusafishia shamba au nyumba kwa kuwamaliza wadudu hawa.
**Mwisho nawashauri ndugu zangu sio kila tukiwaona nyoka tunawaua ,nyoka ni rafiki zetu na sio maadui.Tuwatumie ipasavyo watatusaidia sana.
Kiongozi kama unautaalam wa kuwakamata, naomba msaada kuna nyoka wawili wapo kwenye bwawa langu la Samaki wamenikosesha raha nashindwa hata kuhudumia Samaki, njoo uchukue au unielekeze navyoweza kuwatoaLipo mbeya nashukuru Mungu mambo yanakwenda vizuri,nawashukuru watu wa Mali asili kwa ushirikiano na ushauri wanaonipatia
Mbeya: Mmiliki wa nyoka aumwa na nyoka wake.Mbeya sehemu gan, nataka nije kujifunza mkuu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mhmm kumbe uongozi wa magufuli utapelekea kweli watu kuwa wabunifu tutafupa mpaka siafu mwaka huu
Duuu sijaelewa hapa.Mbeya: Mmiliki wa nyoka aumwa na nyoka wake.
Faida yao ni hiyo sumu tu na kula panya?Unawahamisha unawaweka kwenye beseni special ,vifaa za kuwabebea nyoka kama fimbo zilizochepuka zenye kibanio kuwakamata nyoka shingoni na unawahamisha kisha unawarudisha
Hukai nao karibu bali unawapa Huduma na kuwapa matunzo vizuri