A
Anonymous
Guest
HATARI YA MAGONJWA YA MILIPUKO TEGETA CHASIMBA
Wakazi wa Tegeta Chasimba wanaomba msaada wa kuondolewa takataka ili kuepukana na hatari ya magonjwa ya milipuko. Mkandarasi wa taka hajaonekana muda mtefu huku ikilelezwa ni kwa sababu ya miundombinu na sababu nyingine nyingi.
Kwa sasa hivi takataka zinatupwa kila mahali na kwa muda mrefu sana kitu ambacho ni tishio la afya ya wananchi.
Wakazi wa Tegeta Chasimba wanaomba msaada wa kuondolewa takataka ili kuepukana na hatari ya magonjwa ya milipuko. Mkandarasi wa taka hajaonekana muda mtefu huku ikilelezwa ni kwa sababu ya miundombinu na sababu nyingine nyingi.
Kwa sasa hivi takataka zinatupwa kila mahali na kwa muda mrefu sana kitu ambacho ni tishio la afya ya wananchi.