Take a moment to masturbate

Take a moment to masturbate

Tatizo ukishaingia kwa lengo la kujaribu na kugundua hakuna faida kama zilivyomwagwa hapa, kutoka inaweza kuwa mtihani mwingine
 
DHAMBI...kutokana na dini yangu ukipiga nyeto huonani na ALLAH
 
Dah..ni muda sasa nimejitoa CHAPUTA...ila kwa hali hii itabidi nitafakari upya maamuzi yangu..nadhani muda si mrefu nita-renew membership yangu nirudi kundini...kidumu chama [emoji110][emoji110][emoji110]
Badili gia angani mkuu urudi kundini. Fanya maamuzi magumu kama ya Lipumba kuamua kurudi CUF na kudai uwenye kiti wake kwa nguvu.
Maisha bila selfie (nyeto) haiwezekani na utakuwa na maswali mengi ya kujibu siku ikifika kwa nini ulijivua uanachama.
 
Kwa hali hii sirudishi kadi ya uanachama CHAPUTA
 
Mkishazoeana???? Kwani mademu wa skuizi wanangoja mzoeane? Madem wenyewe ndo akina espy
Yaani nisubiri hadi tuzoeane!!! Wakati huo na hizo shida zinanisubiri? Ni tit for tat.
 
Wamezidi, yaani wamefikia kuifananisha na madawa ya kulevya, basi dunia inaelekea ukingoni
 
hapana nataka nijiunge
karibu sana kwa chama..
Waone viongozi wetu wa matawi wanapatikana kila kona ya nchi.
Mwisho wa mwezi kuna kikao utapata nafasi ya kukutana na viongozi wakubwa wa CHAPUTA..hebu kidumu kwanza chama
 
ni bora nipige punye,kuliko kujikuna mapunye,
ukimindi hizo inye,tutakufunga kwenye,
nepi na pamba hujinyee,punguza hizo nyee...,
gonjwa limekaa pabaya.
 
Back
Top Bottom