Tako/Taco

Tako/Taco

Ukitaka kutokosea ktk kuagiza jaribu kufanyia mazoezi hili neno kwa kulirudia mara tano kwa sauti. Tamka KOMATA kwa sauti mara tano kwa kurudia rudia.

Mkuu utaweza kuagiza mbona🤣
🤣🤣Mtanivunja mbavu
 
[emoji1][emoji1][emoji1] haya mambo ni mazito...
Nawaza jisnsi ya kuagiza nikifika huko migahawani
Sjui niseme naomba ....atafadhali nipe.....
😂😂Angalia usije ukapigwa😂
 
[emoji1787][emoji1787]Mtanivunja mbavu
Niko mgahawani hapa....nimemuomba weita tena kwa kumnong'oneza anipe tako mbili.. za fasta zilizo jaa nyama..
Naona amekimbia kwenda kwa meneja sa sjui ni za kuoda ?? [emoji39][emoji39]
 
Niko mgahawani hapa....nimemuomba weita tena kwa kumnong'oneza anipe tako mbili.. za fasta zilizo jaa nyama..
Naona amekimbia kwenda kwa meneja sa sjui ni za kuoda ?? [emoji39][emoji39]
🤣🤣🤣Dah
 
Kama unashindwa kuagiza, ukifika waiter akija, vua suruali mgeuzie wezere mwambie naomba tako
 
Back
Top Bottom