š¤£š¤£Mtanivunja mbavuUkitaka kutokosea ktk kuagiza jaribu kufanyia mazoezi hili neno kwa kulirudia mara tano kwa sauti. Tamka KOMATA kwa sauti mara tano kwa kurudia rudia.
Mkuu utaweza kuagiza mbonaš¤£
ššAngalia usije ukapigwaš[emoji1][emoji1][emoji1] haya mambo ni mazito...
Nawaza jisnsi ya kuagiza nikifika huko migahawani
Sjui niseme naomba ....atafadhali nipe.....
Kayaanzisha mzee wa TACO huyoš¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£Mtanivunja mbavu
LoohWatalaam ya maswala ya vinyeo wanakuja!
Saaana ...hasa ukipata kubwa kdg ...ya kushibaInaonekana tam
Niko mgahawani hapa....nimemuomba weita tena kwa kumnong'oneza anipe tako mbili.. za fasta zilizo jaa nyama..[emoji1787][emoji1787]Mtanivunja mbavu
Hakuna mbufunyee ? Ukipata na coca mambo moto motoNi chakula kitam sana ..nataman kukipata.
Nimehangaika kila pahala kuomba ..!
Wajuzi naomben kufahamishwa wap naweza kupata Tako..kwa hapa tz
View attachment 2342745
š¤£š¤£š¤£DahNiko mgahawani hapa....nimemuomba weita tena kwa kumnong'oneza anipe tako mbili.. za fasta zilizo jaa nyama..
Naona amekimbia kwenda kwa meneja sa sjui ni za kuoda ?? [emoji39][emoji39]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Taco yenye nyama nyingi ndo yenyewe.
Wakat huo walinz wanakuja na virungušKama unashindwa kuagiza, ukifika waiter akija, vua suruali mgeuzie wezere mwambie naomba tako
VyemaSaaana ...hasa ukipata kubwa kdg ...ya kushiba
Tamu balaaaLol tacle kama tacle!!