Pre GE2025 TAKUKURU: 23% ya Watanzania wanapendelea Rushwa, Uchaguzi watajwa Kama "Wakati wa Mavuno"

Pre GE2025 TAKUKURU: 23% ya Watanzania wanapendelea Rushwa, Uchaguzi watajwa Kama "Wakati wa Mavuno"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Joseph Kasongwa Mwaiswelo, amesema utafiti wa taasisi hiyo uliofanyika mwaka 2020 umebaini kuwa asilimia 23 ya Watanzania, sawa na watu milioni 15, wanapenda rushwa. Aidha, matokeo ya utafiti huo yanaonyesha kuwa wengi wanachukulia kipindi cha uchaguzi kama "wakati wa mavuno," wakiona fursa ya kupata manufaa kupitia vitendo vya rushwa.

Soma, Pia:

=> Katavi: TAKUKURU yabaini usimamizi mbovu katika miradi ya Serikali
=> TAKUKURU: Jeshi la Polisi ni kinara wa Rushwa nchini
=> TAKUKURU: Rushwa katika Taasisi za Dini hutokea wakati wa Uchaguzi wa Viongozi
 
Labda waseme asilimia 73%,Kwa Mtanzania mwizi ni mjanja na yule ambae anapenda Haki na Kufuata utaratibu ni adui.

Ndio maana rushwa haiwezi isha Bongo
 
Sawa rushwa ndio Shekhe wa Mkoa kapewa LR 4 apige kampeni
 
Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Joseph Kasongwa Mwaiswelo, amesema utafiti wa taasisi hiyo uliofanyika mwaka 2020 umebaini kuwa asilimia 23 ya Watanzania, sawa na watu milioni 15, wanapenda rushwa. Aidha, matokeo ya utafiti huo yanaonyesha kuwa wengi wanachukulia kipindi cha uchaguzi kama "wakati wa mavuno," wakiona fursa ya kupata manufaa kupitia vitendo vya rushwa.

Soma, Pia:

=> Katavi: TAKUKURU yabaini usimamizi mbovu katika miradi ya Serikali
=> TAKUKURU: Jeshi la Polisi ni kinara wa Rushwa nchini
=> TAKUKURU: Rushwa katika Taasisi za Dini hutokea wakati wa Uchaguzi wa Viongozi
Wakubali kwamba wameshindwa kazi hao mbuzi
 
Back
Top Bottom