Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria Ya Ndoa Ya Mwaka 1971Takukuru wanaingiaje hapo!?
kama hawa ni TK basi huenda mipaka Yao hawaijui!
Mbeleko Ya Chuma Imepata Kutu!!😁😂😅😄😃Magufuli habebeki. Anadharau wananchi wenye uhitaji. Mmechelewa sana TAKUKURU
Watumie Foma Gold KumtakasaMagufuli habebeki. Anadharau wananchi wenye uhitaji. Mmechelewa sana TAKUKURU
Na hilo ni jukumu Lao. Kuhakikisha haki inatendeka, neno ' Rushwa' lisikipofushe ukadhani wanashughulika na sehemu yenye rushwa tu.Takukuru wanaingiaje hapo!?
kama hawa ni TK basi huenda mipaka Yao hawaijui!
Nakuelewa!!!Na hilo ni jukumu Lao. Kuhakikisha haki inatendeka, neno ' Rushwa' lisikipofushe ukadhani wanashughulika na sehemu yenye rushwa tu.
Sheria ya ndoa inaingiaje hapo !!?Magufuli habebeki. Anadharau wananchi wenye uhitaji. Mmechelewa sana TAKUKURU
Hiyo sio kazi yao...Na hilo ni jukumu Lao. Kuhakikisha haki inatendeka, neno ' Rushwa' lisikipofushe ukadhani wanashughulika na sehemu yenye rushwa tu.
Can you imagine mwananchi aliyepig kura kukuchagua leo anafungwa kwenye sandarusi na kutoswa baharini....Watumie Foma Gold Kumtakasa
Siyo RahisiCan you imagine mwananchi aliyepig kura kukuchagua leo anafungwa kwenye sandarusi na kutoswa baharini....
Leo unarudi kwa mjomba wake unaomba ridhaaa akuchague
Au mwananchi ulimbambikizia kesi ya ugaidi shekhe wake na anateswa gerezani leo unarudi kumuomba akuchague wewe umletee maendeleo, inaingia akilini hiyo?!Siyo Rahisi
Ni Roho Ngumu Kurudi Kuomba TenaAu mwananchi ulimbambikizia kesi ya ugaidi shekhe wake na anateswa gerezani leo unarudi kumuomba akuchague wewe umletee maendeleo, inaingia akilini hiyo?!
Now just imagine mtu anaangukiwa na nyumba imepigwa na tetemeko unaenda na kuropoka Chama chako hakikusema kwenye ilani kitaleta tetemeko....leo unaenda mbele kujibembeleza uchaguliwe tena; ...Ni Roho Ngumu Kurudi Kuomba Tena
Kila mtu mmoja wa Kigoma aliyenyanyua mdomo wake kurekebisha serikali yake au alibambikizwa kesi ya uraia au alitekwa au alipotezwa.Ni Roho Ngumu Kurudi Kuomba Tena