Hiyo lodge wameibomoa yote au upande ? FafanuaNIOO LODGE MOJA YA KYAUKE HAPA BAONA MAAJABU YA DUNIA
KUNA ZOEZI LA BOMOA BOMOA NAHISI WANATENGENEZA BARABARA
KUNA NYUMBA BAADA YA LODGE YA KYAUKE NJIA YA KWENDA BONYOKWA IMEANDIKWA MT 3.4 INA UKUTA WA KIJANI
MPAKA SASA AJAVUNJA ALICHOFANYA ALIITA TANROADS WAKAPIMA TENA GAFLA IKAANDIKWA MT 1.3...AJABU WA PEMBEN YAKE KAONGEZEWAAA HATAREE SANA
Bonyokwa?Nipo lodge moja ya Kyauke hapa naona maajabu ya dunia.
Kuna zoezi la bomoa bomoa nahisi wanatengeneza barabara.
Kuna nyumba baada ya lodge ya Kyauke njia ya kwenda Bonyokwa imeandikwa mita 3.4 ina ukuta wa kijani.
Mpaka sasa hajavunja, alichofanya aliita Tanroads wakapima tena ghafla ikaandikwa mt 1.3...Ajabu wa pemben yake kaongezewaaa hataree sana.