TAKUKURU chunguzeni wanaopanga watu ajira za afya kuna rushwa inaendelea

TAKUKURU chunguzeni wanaopanga watu ajira za afya kuna rushwa inaendelea

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Ninaomba suala la hizi nafasi liangaliwe vizuri.

Nilishangaa nafasi zilishajaa mapema lakini waliongeza siku ili watu waombe.

Kwa sasa watu wanajitahidi kupeleka pesa ili wapate upendeleo.

Na hata ucheleweshaji wa kutoa majina ya waliopata nafasi unafanyika ili ipatikane mianya ya watu kupokea mlungula na kuingiza kwenye ajira watu kwa connection.

Kwanini msiache mifumo ifanye kazi wakati siku hizi teknolojia ni kubwa?
 
zama zimebadilika mkuu,wapiga dili zamu yetu kulamba asali na kula kwa urefu wa kamba zetu.
 
Serikali sasahivi imekua ya mafisadi. Acha kulialia; penye uzia penyeza rupia.

Mana sa100 kesha bariki watu wale kwa urefu wa kamba..zama za haki na wajibu zilienda na jpm..sasahivi ni oyaoya tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mifumi ipi ifanye kazi wakati hakuna kigezo chochote cha mtu kupata ajira?

Yaani hakuna interview Wala nini watu wataachaje kuuchukua rushwa?

Kwa nini hizi ajira watu wasifanyiwe interview? Wanatumia vigezo gani kuajiri hawa Tamisemi?
 
Nipe connection na mm nitoe hela nipate ajira,nchi hii ni ya kibepari achana na ujinga wa kijamaa.
 
Rushwa haiwezi kwepeka kwenye hizi ajira..wabunge wana majina yao..wakuu wa mikoa wana majina yao..mawaziri wana majina yao..wakuu wa vitengo serikali wana majina yao..hata hao takukuru wana majina yao mkononi ya ndugu jamaa na marafiki wanaotaka wapate nafasi kwenye hizo ajira.

The system is corrupted.

Ni kujipambania tu kwa mtoto wa maskini...hii sio awamu ya wanyonge.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nani ana connection nimchape milioni ya nguvu😂😂.
 
Mifumi ipi ifanye kazi wakati hakuna kigezo chochote cha mtu kupata ajira?

Yaani hakuna interview Wala nini watu wataachaje kuuchukua rushwa?

Kwa nini hizi ajira watu wasifanyiwe interview? Wanatumia vigezo gani kuajiri hawa Tamisemi?
Inetrview ya namna gani kuna graduates kama laki nane na zaidi wameapply utawafanyia interview ipi wote hao
 
Ninaomba suala la hizi nafasi liangaliwe vizuri.

Nilishangaa nafasi zilishajaa mapema lakini waliongeza siku ili watu waombe.

Kwa sasa watu wanajitahidi kupeleka pesa ili wapate upendeleo.

Na hata ucheleweshaji wa kutoa majina ya waliopata nafasi unafanyika ili ipatikane mianya ya watu kupokea mlungula na kuingiza kwenye ajira watu kwa connection.

Kwanini msiache mifumo ifanye kazi wakati siku hizi teknolojia ni kubwa?
Acha wenge kijana hiyo ya kuongeza siku za kuomba ipo miaka yote labda ulikuwa hujazaliwa, kama umeandikiwa kupata utapata tu na kama sio basi muda wako Bado. .
 
Inetrview ya namna gani kuna graduates kama laki nane na zaidi wameapply utawafanyia interview ipi wote hao
Kwa hiyo hao wanaoajiriwa wanapatokanaje kutoka kwa hao laki nane? Tulieni Sasa watu wachukue hela...
Kuna njia nyingi wanaweza tumia kufanyisha interview baada ya kushortlist tena nyingine Haina haja ya kumsumbua mtu kusafiri anafanya huko aliko.
 
Kwa hiyo hao wanaoajiriwa wanapatokanaje kutoka kwa hao laki nane? Tulieni Sasa watu wachukue hela...
Kuna njia nyingi wanaweza tumia kufanyisha interview baada ya kushortlist tena nyingine Haina haja ya kumsumbua mtu kusafiri anafanya huko aliko.
Swala la hela huko mimi sipo nlikupa taarifa tu kuwa nafasi hizi waombaji ni wengi ni ngumu kuwafanyia interview..kama sifa kila mtu anazo basi kuna mahali watapishana kidogo tu bigezo vya ziada ni siri yao inavyoonekana...sijaongea kwa hisia kwamba kuna upigaji huko nimeongeq uhalisia wa ugumu wa kuwafanyia interview
 
Nyie watu ipo siki mtatajana tu.Msidhani nchi hii haitokuja kupata Rais mwingine wa wanyonge ambaye atakuwa mchungu kuliko Magufuli.Hiyo asali mnayolsmba sasa itabadilika kuwa shubiri.

Jilimbikizieni mali haram tu.Ila nawaambia nchi hii Mungu anaipenda.Tendeni haki ili baadae ninyi na watoto wenu msije kulia na kusaga meno.Maana tunawajua kwa majina
 
Ninaomba suala la hizi nafasi liangaliwe vizuri.

Nilishangaa nafasi zilishajaa mapema lakini waliongeza siku ili watu waombe.

Kwa sasa watu wanajitahidi kupeleka pesa ili wapate upendeleo.

Na hata ucheleweshaji wa kutoa majina ya waliopata nafasi unafanyika ili ipatikane mianya ya watu kupokea mlungula na kuingiza kwenye ajira watu kwa connection.

Kwanini msiache mifumo ifanye kazi wakati siku hizi teknolojia ni kubwa?
Kiungozi hebu twambie ukweli. Usije ukawa waandika kwa hisia tu. Haya ni malalamiko serious.
 
Ninaomba suala la hizi nafasi liangaliwe vizuri.

Nilishangaa nafasi zilishajaa mapema lakini waliongeza siku ili watu waombe.

Kwa sasa watu wanajitahidi kupeleka pesa ili wapate upendeleo.

Na hata ucheleweshaji wa kutoa majina ya waliopata nafasi unafanyika ili ipatikane mianya ya watu kupokea mlungula na kuingiza kwenye ajira watu kwa connection.

Kwanini msiache mifumo ifanye kazi wakati siku hizi teknolojia ni kubwa?
[emoji23][emoji23][emoji23]ata mifumo pia bado wanaicotro watu hivyo Bias hazi kosekani
 
Mifumi ipi ifanye kazi wakati hakuna kigezo chochote cha mtu kupata ajira?

Yaani hakuna interview Wala nini watu wataachaje kuuchukua rushwa?

Kwa nini hizi ajira watu wasifanyiwe interview? Wanatumia vigezo gani kuajiri hawa Tamisemi?
Intavyuu Bongo,INTAVYUU UNAENDA WASHAPANGA WATU WAO WA KUPITISHA
 
Hivi idad ya walimu 2015-2021 kwa Tanzania walio nje ya ajira ya serikali wanafika 50000?
2015 pekee udom walihitimu walimu elfu tatu..maanake kwa makadirio tu kuna walimu elfu 24 wa udom tuu... probably kuna walimu zaidi ya laki moja na nusu wahitimu wa vyuo vyote nchini mpaka sasa..wastani wa ajira za walimu kila mwaka ni elfu kumi tu hivyo since 2015 walimu wasiofika elfu 70 waliajriwa maana Magu sikumbuki kama alitoaga.. probably kuna mtu elfu 90 mpaka laki moja wameapply hizo mishe mpaka sasa...
 
Back
Top Bottom