Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Ni butu toka siku ya kwanza na siyo kosa lao bali viongozi wa wakuu.Hakijawahi kua perfect toka kimeundwa, Yes. But ubutu wa sasa unazidi Kwa mbali ubutu wa zamani. Sasa kimezidi kua butu mno.
Hapo sasa, kwanza ccp hakuna mafunzo ya kijeshi bali kuna mafunzo ya kipolisi. Mafunzo ya kijeshi yapo jeshini.Uwongo. Tuko nao huku mtaani na CV zao tunazijua. Lini walipata hayo mafunzo ya kijeshi?
Tatizo hapo kwenye kupambana, mapambano kuna wakati yanahitaji mbinu ngumu kidogo siyo soft.Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa imekabidhiwa mikononi mwa wanajeshi na Askari. Kazi hii aliifanya Magufuli kwa lengo la kumwezesha kutoa amri ya kutimiza malengo yake .
Baada ya JPM bado aliteuliwa Afisa wa Polisi kuongoza taasisi hii. Madhara ya uteuzi ule ni kwamba taasisi imeacha misingi yake na sasa inasikiliza amri kutekeleza majukumu yao. Ni taasisi inayosubiri mwanasiasa aseme kamata na siyo taasisi yakujieneza kwa jamii kubaini wizi na kuchukua hatua.
TAKUKURU inapaswa kuwa na mifumo mizuri ya kubaini viashiria vya rushwa kwenye taasisi na kisha kukutana na mkuu wa taasisi husika kumwelekeza visharia na risks zilizopo anazopaswa kuzifanyia kazi.
TAKUKURU haipaswi kukamata inapaswa kuita mtuhumiwa kwa mahojiano. Haipaswi taasisi yakisubiri wizi utokee bali iwe taasisi yakuona wizi kabla hakutendeka na kudhibiti isitokee.
Kwa ufupi TAKUKURU ilipaswa kuangaika na mapapa siyo dagaa.....dagaa walipaswa kudhibitiwa kwa kuwabaini kabla ya kuiba ili wasifanikiwe kuiba.
Nashauri mamlaka za uteuzi ziondoe TAKUKURU polisi na kuirudisha kwa RAIA wenye integrity. Haiwezekani watumishi wa TAKUKURU wafanye kazi ndani kwao wanapofikia nafasi ya ukurugenzi mkuu waletewe mtu kutoka nje ya taasisi na anayeletwa akapata uungwaji mkono. Tukubali kwamba hizi taasisi wapo watu wamesota miaka na miaka wakifanya kazi wafikie nafasi ya juu, tuwape nafasi badala ya kuwaletea watu kutoka nje.
Rushwa imekithiri kwa sababu wanaopambana na rushwa leo walikulia kwenye rushwa. Kila wakitaka kuchukua hatua wanakumbuka maovu yao.
Wewe ni mmojawapo wa kuifanya TAKUKURU ionekane haifanyi vema. Takukuru siyo wapiga ramli,wanahitaji msaada wa raia wema kuripoti rushwa ili wazuie.Hakijawahi kua perfect toka kimeundwa, Yes. But ubutu wa sasa unazidi Kwa mbali ubutu wa zamani. Sasa kimezidi kua butu mno.
Mla rushwa tu huyo polisi mama anayumbishwa ndo maana CAG nae anafelishwa anaibua madudu yakienda PCCB yanafunikwa ulaji wa pipoziNdugu zangu siyo SIRI hamduni hana uwezo na ueledi wa kuliongoza dude kubwa kama TAKUKURU, halifahamu na pia ni limbukeni wa majukumu. Huwezi kuamini hiyo Taasisi Kwa sasa inakamata watoto wadogo wadogo Tena Kwa mipango mikubwa na baadhi ya wajinga wenzie. Tunaomba tukubie Hamduni,hautatukuzwa mpaka mbinguni ila utashushwa mpaka kuzimu kwasababu hujui uyatendayo
SawaMzungu haombwi rushwa ndio maana miradi yao walau inakuwa imara TZ
Huo Upuuzi umeletwa na MagufuliTakukuru sio raia wa kawaida; wana mafunzo ya kijeshi na ndio maana wanaongozwa na Mwanajeshi/askari.
Saivi kozi yao wanapigia Chuo cha Taaluma ya polisi(MOSHI)kwahiyo haiwezekani ikawa taasisi lelemama lazima iongozwe kijeshi.