TAKUKURU isiongozwe na Askari. Inahitaji katiba ya Dkt. Hosea kuifufua

Hakijawahi kua perfect toka kimeundwa, Yes. But ubutu wa sasa unazidi Kwa mbali ubutu wa zamani. Sasa kimezidi kua butu mno.
Ni butu toka siku ya kwanza na siyo kosa lao bali viongozi wa wakuu.
 
Tatizo hapo kwenye kupambana, mapambano kuna wakati yanahitaji mbinu ngumu kidogo siyo soft.
Hao raia wa kawaida watapambana vipi bila kuwa na ukakamavu?
Ila tatizo lako nimeona ni cheo mkuu,wewe piga kazi Mungu atakuinua usiangalie wanadamu. Halafu wewe hukusomea Ukurugenzi, hizo ni ziada relax!
 
Hakijawahi kua perfect toka kimeundwa, Yes. But ubutu wa sasa unazidi Kwa mbali ubutu wa zamani. Sasa kimezidi kua butu mno.
Wewe ni mmojawapo wa kuifanya TAKUKURU ionekane haifanyi vema. Takukuru siyo wapiga ramli,wanahitaji msaada wa raia wema kuripoti rushwa ili wazuie.
Je,katika kuombwa kwako rushwa umewahi kuripoti???
 
Mzungu haombwi rushwa ndio maana miradi yao walau inakuwa imara TZ
 
Ndugu zangu siyo SIRI hamduni hana uwezo na ueledi wa kuliongoza dude kubwa kama TAKUKURU, halifahamu na pia ni limbukeni wa majukumu. Huwezi kuamini hiyo Taasisi Kwa sasa inakamata watoto wadogo wadogo Tena Kwa mipango mikubwa na baadhi ya wajinga wenzie. Tunaomba tukubie Hamduni,hautatukuzwa mpaka mbinguni ila utashushwa mpaka kuzimu kwasababu hujui uyatendayo
 
Mla rushwa tu huyo polisi mama anayumbishwa ndo maana CAG nae anafelishwa anaibua madudu yakienda PCCB yanafunikwa ulaji wa pipozi
 
Takukuru sio raia wa kawaida; wana mafunzo ya kijeshi na ndio maana wanaongozwa na Mwanajeshi/askari.

Saivi kozi yao wanapigia Chuo cha Taaluma ya polisi(MOSHI)kwahiyo haiwezekani ikawa taasisi lelemama lazima iongozwe kijeshi.
Huo Upuuzi umeletwa na Magufuli
Hizo Taasisinzinafaa kuwa na watu wenye ajili za Hali ya juu Sana
PCCB ikifaa iwe Kama SFO ya Uingereza
Sasa Polisi Kilaza atafanya nini cha Maana ?
Jiwe alianza kuweka Maaskari ili aweze kuwa command anavyotaka yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…