Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) 2022/2023, imezitaja sekta zinazoongoza kwa vitendo vya rushwa nchini, huku Jeshi la Polisi likishika nafasi ya kwanza kwa asilimia 45.6 kati ya nne vinara.
Kwa takwimu hizi uadilifu wa Jeshi la polisi uko wapi hadi liaminiwe kulinda wananchi na mali zao.
Maadili ya Jeshi la polisi yako wapi hadi liaminiwe kufanya upelelezi wa ubakaji ili hali maofisa wake wanatuhumiwa kwa vitendo vya ubakaji,
Jeshi la polisi liaminiwe vipi na wananchi wakati linatuhumiwa kwa vitendo vya utekaji.
Ni dhahiri kwa vitendo hivi Jeshi la polisi linajipora lenyewe legitimacy ya kuwa mtunza amani nchini, aidha ni kutokana na elimu au mafunzo wanayopata au ni utovu wa nidhamu wa askari mmoja mmoja.
IGP, Mkurugenzi wa Mafunzo hamuoni aibu kuongoza taasisi ya aina hii inayolalamikiwa hadi na taasisi zingine za umma.
Nini kifanyike.
Kwa takwimu hizi uadilifu wa Jeshi la polisi uko wapi hadi liaminiwe kulinda wananchi na mali zao.
Maadili ya Jeshi la polisi yako wapi hadi liaminiwe kufanya upelelezi wa ubakaji ili hali maofisa wake wanatuhumiwa kwa vitendo vya ubakaji,
Jeshi la polisi liaminiwe vipi na wananchi wakati linatuhumiwa kwa vitendo vya utekaji.
Ni dhahiri kwa vitendo hivi Jeshi la polisi linajipora lenyewe legitimacy ya kuwa mtunza amani nchini, aidha ni kutokana na elimu au mafunzo wanayopata au ni utovu wa nidhamu wa askari mmoja mmoja.
IGP, Mkurugenzi wa Mafunzo hamuoni aibu kuongoza taasisi ya aina hii inayolalamikiwa hadi na taasisi zingine za umma.
Nini kifanyike.