Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Takukulu na wao ni Wala rushwa wakubwa ndo maana kesi nyingi kubwa wafaidika hawachukuliwi sheria, uchunguzi unaweza chukua miaka nenda rudi.Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) 2022/2023, imezitaja sekta zinazoongoza kwa vitendo vya rushwa nchini, huku Jeshi la Polisi likishika nafasi ya kwanza kwa asilimia 45.6 kati ya nne vinara.
Kwa takwimu hizi uadilifu wa Jeshi la polisi uko wapi hadi liaminiwe kulinda wananchi na mali zao.
Maadili ya Jeshi la polisi yako wapi hadi liaminiwe kufanya upelelezi wa ubakaji ili hali maofisa wake wanatuhumiwa kwa vitendo vya ubakaji,
Jeshi la polisi liaminiwe vipi na wananchi wakati linatuhumiwa kwa vitendo vya utekaji.
Ni dhahiri kwa vitendo hivi Jeshi la polisi linajipora lenyewe legitimacy ya kuwa mtunza amani nchini, aidha ni kutokana na elimu au mafunzo wanayopata au ni utovu wa nidhamu wa askari mmoja mmoja.
IGP, Mkurugenzi wa Mafunzo hamuoni aibu kuongoza taasisi ya aina hii inayolalamikiwa hadi na taasisi zingine za umma.
Nini kifanyike.
nadhani msingi wa maudhui ya hoja ni Rushwa, ambayo imekita mizizi na kushamiri chadema, nadhani ni muhimu sana TAKUKURU kumulika huko kulikoni jamaa anabweka bweka nje ya reli πMada inahusu polisi wewe unawaingiza chadema
Ova
Ilibidi wao wajiweke piaTakukulu na wao ni Wala rushwa wakubwa ndo maana kesi nyingi kubwa wafaidika hawachukuliwi sheria, uchunguzi unaweza chukua miaka nenda rudi.
Kwa huko pilosi hakuna rushwanadhani msingi wa maudhui ya hoja ni Rushwa, ambayo imekita mizizi na kushamiri chadema, nadhani ni muhimu sana TAKUKURU kumulika huko kulikoni jamaa anabweka bweka nje ya reli π
nadhani msingi wa maudhui ya hoja ni Rushwa, ambayo imekita mizizi na kushamiri chadema, nadhani ni muhimu sana TAKUKURU kumulika huko kulikoni jamaa anabweka bweka nje ya reli π
hii makamu mwenyekiti huenda hajaiona maana anabweka bweka hatari,Ripoti ya CAG : CHADEMA yapata hati safi kwa mwaka wa tatu mfululizo
Kwa mara nyingine tena Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema ) kimepata hati safi kutokana na ripoti ya CAG , hata baada ya Viongozi wake kuhojiwa na TAKUKURU kwa Maelekezo ya CCM kupitia kwa Mamluki wake Peter Lijuakali , ambaye baadaye alikuja kuhongwa UDC , bado chadema imekutwa na hati...www.jamiiforums.com
Tunaomba huo utafiti tuwekee hapa au tuwekee link tuupakuwe.Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) 2022/2023, imezitaja sekta zinazoongoza kwa vitendo vya rushwa nchini, huku Jeshi la Polisi likishika nafasi ya kwanza kwa asilimia 45.6 kati ya nne vinara.
Kwa takwimu hizi uadilifu wa Jeshi la polisi uko wapi hadi liaminiwe kulinda wananchi na mali zao.
Maadili ya Jeshi la polisi yako wapi hadi liaminiwe kufanya upelelezi wa ubakaji ili hali maofisa wake wanatuhumiwa kwa vitendo vya ubakaji,
Jeshi la polisi liaminiwe vipi na wananchi wakati linatuhumiwa kwa vitendo vya utekaji.
Ni dhahiri kwa vitendo hivi Jeshi la polisi linajipora lenyewe legitimacy ya kuwa mtunza amani nchini, aidha ni kutokana na elimu au mafunzo wanayopata au ni utovu wa nidhamu wa askari mmoja mmoja.
IGP, Mkurugenzi wa Mafunzo hamuoni aibu kuongoza taasisi ya aina hii inayolalamikiwa hadi na taasisi zingine za umma.
Nini kifanyike.
Kama unataka details za utafiti nenda ofisi za Takukuru sisi ni wahabarishaji tuu.Tunaomba huo utafiti tuwekee hapa au tuwekee link tuupakuwe.
Hii habari kama nibya kweli IGP na waziri wa mambo ya wajiwabishe wenyewe kwa kustaafu nyadhifa zao, ili yafunguliwe mashitaka kwa wahusika wote.