Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Huna Unachokijua Kuhusu Hii Tanzania Pia Unaonekana Wewe Ni Wa JuziNliambiwa na mmoja wa mapolice cku fulan kuwa takukuru Hana mamlaka ya kumkamata police akiwa kazn na haiwez kutokea ndio maana hatujawah kuskia kes y traffic kukamatwa na takukuru,
Wamekamatwa Wengi Wakiwa Na Uniform Na Kupandishwa Mahakamani Chap Wakapoteza Kazi
SOMA Privention And Combating Act Section 15