Jerlamarel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 843
- 2,525
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Kilimanjaro Frida Wikes, amesema kuwa uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazo muhusu aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya unaendelea vizuri katika Mkoa wa Kilimanjaro.
"Kesi za mshitakiwa huyu (Sabaya) zimekuwa zikienda mfululizo hivyo kesi nyingine zimesubiri kwa sababu huwezi kumpata,ule ni Mkoa mwingine na huu ni mwingine, tutatoa taarifa wakati wake ukifika.
"Kesi za mshitakiwa huyu (Sabaya) zimekuwa zikienda mfululizo hivyo kesi nyingine zimesubiri kwa sababu huwezi kumpata,ule ni Mkoa mwingine na huu ni mwingine, tutatoa taarifa wakati wake ukifika.