TAKUKURU Kilimanjaro: Uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomhusu Ole Sabaya unaendelea vizuri

TAKUKURU Kilimanjaro: Uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazomhusu Ole Sabaya unaendelea vizuri

Jerlamarel

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2021
Posts
843
Reaction score
2,525
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Kilimanjaro Frida Wikes, amesema kuwa uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazo muhusu aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya unaendelea vizuri katika Mkoa wa Kilimanjaro.

"Kesi za mshitakiwa huyu (Sabaya) zimekuwa zikienda mfululizo hivyo kesi nyingine zimesubiri kwa sababu huwezi kumpata,ule ni Mkoa mwingine na huu ni mwingine, tutatoa taarifa wakati wake ukifika.

Takukuru.jpg
 
Nchi ya ajabu sana hii. Yani Makonda anapeta tu mtaani.
 
Na polisi kilimanjaro nao wanamsubiria kwa hamu ili ashitakiwe kwa kosa la kumpiga askari wao na kumsababishia maumivu makali,hii ni kwa mujibu wa RPC Simon Maigwamhahaha Mwaka wa Lengai Ole sabaya
 
Damu yake ladha ya soda.

Sabaya damu yake haijachujwa hivyo wanamtapika
 
Kwa mtazamo wangu.
Hizi kesi dhidi ya Sabaya ni ujumbe tosha kwa vimbembengume wanaojitokeza kutunishia misuli Chama.

Wanaambiwa angalieni kinachomkuta mwenzenu.
 
Back
Top Bottom