DOKEZO TAKUKURU mchunguzeni Afisa Habari mkoa wa Singida

DOKEZO TAKUKURU mchunguzeni Afisa Habari mkoa wa Singida

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Mliogwa

Member
Joined
Jun 6, 2024
Posts
37
Reaction score
37
Hapa mkoani Singida, Afisa Habari mmoja mwanaume anatuchezea michezo ya nyumba mbele. Waandishi wa Habari Mkoa wa Singida tunateswa sana na huyu Afisa Habari anayekata posho zetu juu kwa juu na kutaka sisi tufanye kazi ya bila kulipwa wakati malipo ya kazi husika yanatoka.

Mfano hivi karibu limeonekana karatasi lenye majina ya Waandishi wakiwa wamelipwa laki moja moja. Wakati uhalisia ni kuwa hakuna kazi ya mkoani ambayo Waandishi wamelipwa laki moja moja.

Afisa Habari huyu amekuwa akikata posho za Waandishi anawasainisha 30k huku amewaombea 50k. Mtu huyu amekuwa kichomi kwetu kwa kutubania hadi kwenye taasisi zingine.

Mfano imekuja taasisi ambayo wanalipa posho wao wenyewe anachokifanya yeye anawaambia Waandishi wape 30k hawalipwagi zaidi ya hiyo. Kwakweli Mkuu wa Mkoa tunaomba ikiwezekana mtu huyu apangiwe kazi nyingine.

Anatuchosha sana. TAKUKURU mchunguzeni mtu huyu asikae hapa akawa anashibia majasho ya watu.
 
Hapa mkoani Singida, Afisa habari mmoja mwanaume anatuchezea michezo ya nyumba mbele. Waandishi wa habari mkoa wa singida tunateswa sana na uyu afusa habari anayekatq posho zetu juu kwa juu na kutaka sisi tufanye kazi ya bila kulipwa wakat malipo ya kazi husika yanatoka.
Mfano hivi karibu limeonekana karatasi lenye majina ya waandishi wakiwa wamelipwa laki moja moja. Wkt unalisia ni kuwa hakuna kazi ya mkoani ambayo waandisji wamelipwa laki moja moja.
Afisa habari huyu amekuwa akikatq posho za waandishi anawasainisha 30k huku amewaombea 50k. Mtu huyu amekuwa kichomi kwetu kwa kutubania had kwny taasisi zingine....mfano imekuja taasisi ambayo wanalipa posho wao wenyewe anachokifanya yy anawaambia waandishi wape 30k hawalipwagi zaid ya hiyo...kwakweli Mkuu wa mkoa tunaomba ikiwezekana mtu huyu apangiwe kazi nyingine....anatuchosha sana. TAKUKURU mchunguzeni mtu huyu asikae hapa akawa anashibia majasho ya watu.
Mlisema kazi ya ualimu ni ya ovyo. Tulieni sindano iwaingie
 
Back
Top Bottom