TAKUKURU mko wapi Kashfa ya Sukari?

TAKUKURU mko wapi Kashfa ya Sukari?

Stuka

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
282
Reaction score
906
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mko wapi kwenye hii kashfa ya Sukari? mmeshamsikia Waziri Bashe, Mmeshamsikia Mpina, mmeshamsikia Tulia, mmeshaisikia Kamati ya Bunge, mmeshawasilikia wazalishaji na mmeshamsikiliza mkurugenzi wa Bodi ya Sukari na maoni mbalimbali ya watanzania kuhusu sukari.

Swali langu kwa TAKUKURU hadi sasa bado hamjaona mteja wenu hata mmoja angalau wa kumfikisha Mahakamani?
 
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mko wapi kwenye hii kashfa ya Sukari? mmeshamsikia Waziri Bashe, Mmeshamsikia Mpina, mmeshamsikia Tulia, mmeshaisikia Kamati ya Bunge, mmeshawasilikia wazalishaji na mmeshamsikiliza mkurugenzi wa Bodi ya Sukari na maoni mbalimbali ya watanzania kuhusu sukari.

Swali langu kwa TAKUKURU hadi sasa bado hamjaona mteja wenu hata mmoja angalau wa kumfikisha Mahakamani?
Mkuu
Utawalaumu Bure Hao Ukweli Upo Wazi Ila Mhimili Uliojichimbia Huujui Wewe ?
 
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mko wapi kwenye hii kashfa ya Sukari? mmeshamsikia Waziri Bashe, Mmeshamsikia Mpina, mmeshamsikia Tulia, mmeshaisikia Kamati ya Bunge, mmeshawasilikia wazalishaji na mmeshamsikiliza mkurugenzi wa Bodi ya Sukari na maoni mbalimbali ya watanzania kuhusu sukari.

Swali langu kwa TAKUKURU hadi sasa bado hamjaona mteja wenu hata mmoja angalau wa kumfikisha Mahakamani?
Mpaka waagizwe kufanya uchunguzi na rais si chombo huru
 
Hili la sukari likifukuliwa litaondoa watu magogo na huko forozani mwanakwerekwe mpaka kizimkazi
 
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mko wapi kwenye hii kashfa ya Sukari? mmeshamsikia Waziri Bashe, Mmeshamsikia Mpina, mmeshamsikia Tulia, mmeshaisikia Kamati ya Bunge, mmeshawasilikia wazalishaji na mmeshamsikiliza mkurugenzi wa Bodi ya Sukari na maoni mbalimbali ya watanzania kuhusu sukari.

Swali langu kwa TAKUKURU hadi sasa bado hamjaona mteja wenu hata mmoja angalau wa kumfikisha Mahakamani?

Watu wanaongelea cartel kama kidogo cha wanasiasa kujifurahisha. Wanasahau wanaoumia ni watanzania. Wanasahau kuna vyombo vilivyoweka kushughulika na watu wa aina hiyo.
Nilitegemea kuona wahujumu wanawajibishwa. Lakini nao ni watu wasiojulikana. It takes all these little things we take for granted to create a big mess. These moments here and there are gaining massive momentum. Time and again, we fall short of engaging our minds.
 
Balozi alisema: ukiona watoto wa simba wanarukaruka tambua mama na baba yao wako karibu.
Vile vile waziri wa kilimo wakati ule aliyasema ya vibari vya sukari.
 
Kama wameshindwa kudhibiti rushwa ya askari wa barabarani ambao vikao vyao na watu wa daladala vipo wazi kabisa huku wakiwa wamepaki magari yao ya kifahari pembeni, sidhani kama swala la sukari wataliweza
 
Back
Top Bottom