TAKUKURU Mkoa wa Mara Acheni Kuonea Watumishi.Badala ya Kuzuia Ufisadi Kwenye Miradi ya Mabilioni Nyie Mnawaghasi Watumishi kisa Posho ya Mil.2.8?

TAKUKURU Mkoa wa Mara Acheni Kuonea Watumishi.Badala ya Kuzuia Ufisadi Kwenye Miradi ya Mabilioni Nyie Mnawaghasi Watumishi kisa Posho ya Mil.2.8?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Watumishi wa Umma Huwa wanaonewa sana na Wanasiasa, Kwa kutumia Hawa TAKUKURU.

Majizi ya Nchi hii ni Wanasiasa na watu wenye vyeo vikubwa lakini sijawahi sikia hao wanaojiita TAKuKURU kuwashughulikia ila viposho vidogo vidogo hivyo vya Watumishi kujikimu ndio mnaona ni kazi sana.

Tukisema tuwakague hao TAKuKURU wanaweza onyesha uhalali wa posho wanazolipana? Acheni hizo

View: https://www.instagram.com/reel/DFz-MVxsixw/?igsh=b3E1NHY0cG95cDBv
 
Back
Top Bottom