jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Roho mbaya na uchoyo tu..kwani sisi tukila ubwabwa wao wanapungukiwa nini..?
Kila siku tunasemaga kuwa ccm wana roho mbaya kama za shetani mtoa rohoRoho mbaya na uchoyo tu..kwani sisi tukila ubwabwa wao wanapungukiwa nini..?
#MaendeleoHayanaChama
Kwani wafuasi wa rungwe tukiamua kumwandalia ubwabwa akawa anapiga menu huku anamwaga neno Ni kosa?Jana PCCB wamepiga marufuku mgombea wa chauma kutumia UBWABWA kwenye kampeini zake.
Mzee Rungwe amekuwa anasema yeye atatumia UBWABWA kwenye kampeni zake kama CCM inavyowatumia wasanii kwenye kampeni zake.
Hapa ndipo maswali mengi yanapo jitokeza kwa wapenda haki hapa nchini. Hapa kuna double standard.
CCM kuwatumia WASANII ni moja ya kuwavuta watu waende kwenye mikutano yao hivyo nayo ni rushwa tuuu, TAKUKURU wanashindwa nini kuwastopisha CCM kuwatumia WASANII? Maana yote ni rushwa tu.
Tanzania bila CCM inawezekana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ccm watasema mnamuhonga mgombea [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani wafuasi wa rungwe tukiamua kumwangalia ubwabwa akawa anapiga menu huku anamwaga neno Ni kosa?
TAKUKURU DHOOFU HALITAKUKURU acheni usanii, wale wagombea ubunge kupitia CCM mliokuwa na taarifa zao za kutoa rushwa mlisema mnalirudisha kwenye chama wamalizane wenyewe kwa wenyewe, Sasa kwa nini mnaingilia kampeni ya mzee Rungwe?
Sera ya Rungwe ni watu wale washibe!
... awamu ya kijicho na kukomoana KAZINI! ... 'anyway', yana mwisho!Wametuaribia mchongo, tukale wapi Sasa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Tunabaniwa mpaka ubwabwa dah... awamu ya kijicho na kukomoana KAZINI! ... 'anyway', yana mwisho!
[emoji28]
Kama wengine wanavyotumia ugonjwa wa akiliDah wengine wanatumia majeraha kupata kura za huruma
Sio wasanii tuu hata mgombea wa Ccm ana toa hingonza ajira,Jana PCCB wamepiga marufuku mgombea wa chauma kutumia UBWABWA kwenye kampeini zake.
Mzee Rungwe amekuwa anasema yeye atatumia UBWABWA kwenye kampeni zake kama CCM inavyowatumia wasanii kwenye kampeni zake.
Hapa ndipo maswali mengi yanapo jitokeza kwa wapenda haki hapa nchini. Hapa kuna double standard.
CCM kuwatumia WASANII ni moja ya kuwavuta watu waende kwenye mikutano yao hivyo nayo ni rushwa tuuu, TAKUKURU wanashindwa nini kuwastopisha CCM kuwatumia WASANII? Maana yote ni rushwa tu.
Tanzania bila CCM inawezekana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hili lazima wakubali kuwa wamechemsha tu.Sio wasanii tuu hata mgombea wa Ccm ana toa hingonza ajira,
Kamuahida Lugola ajira,
Kamuahidi Masele ajira zote hizi ni hongo. TAKUKURU hawazioni jizo wana ona ubwabwa wa Skunda..
Hakuwa mgombeaHahahaaaa...... Ubwabwa ni rushwa?!
Yesu aliwalisha makutano mikate na samaki!
Kwani wasanii ni rushwa
Naona hata mleta hoja anaikumbusha takukuru iitambuwe CCM kama mhongaji wa burudaniHahahaaaa...... Ubwabwa ni rushwa?!
Yesu aliwalisha makutano mikate na samaki!
Hapana, wasanii siyo rushwa bali burudani waitoayo kwa makutano ndo rushwa. Vivyo hivyo kule kwa mzee Rungwe, wapishi siyo rushwa bali ubwabwa utolewao kwa makutano ndo rushwa.Kwani wasanii ni rushwa