Uchaguzi 2020 TAKUKURU mnazuia ubwabwa mnawaacha wasanii?

Uchaguzi 2020 TAKUKURU mnazuia ubwabwa mnawaacha wasanii?

Jana PCCB wamepiga marufuku mgombea wa chauma kutumia UBWABWA kwenye kampeini zake.

Mzee Rungwe amekuwa anasema yeye atatumia UBWABWA kwenye kampeni zake kama CCM inavyowatumia wasanii kwenye kampeni zake.

Hapa ndipo maswali mengi yanapo jitokeza kwa wapenda haki hapa nchini. Hapa kuna double standard.

CCM kuwatumia WASANII ni moja ya kuwavuta watu waende kwenye mikutano yao hivyo nayo ni rushwa tuuu, TAKUKURU wanashindwa nini kuwastopisha CCM kuwatumia WASANII? Maana yote ni rushwa tu.

Tanzania bila CCM inawezekana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wafuasi wa rungwe tukiamua kumwandalia ubwabwa akawa anapiga menu huku anamwaga neno Ni kosa?
 
Shit! Kule nilipoeka Order ya Mirinda Nyeusi kwa kipindi chote cha Kampeni itabidi nikavunje Order yangu.
 
TAKUKURU acheni usanii, wale wagombea ubunge kupitia CCM mliokuwa na taarifa zao za kutoa rushwa mlisema mnalirudisha kwenye chama wamalizane wenyewe kwa wenyewe, Sasa kwa nini mnaingilia kampeni ya mzee Rungwe?

Sera ya Rungwe ni watu wale washibe!
TAKUKURU DHOOFU HALI

Jr[emoji769]
 
Jana PCCB wamepiga marufuku mgombea wa chauma kutumia UBWABWA kwenye kampeini zake.

Mzee Rungwe amekuwa anasema yeye atatumia UBWABWA kwenye kampeni zake kama CCM inavyowatumia wasanii kwenye kampeni zake.

Hapa ndipo maswali mengi yanapo jitokeza kwa wapenda haki hapa nchini. Hapa kuna double standard.

CCM kuwatumia WASANII ni moja ya kuwavuta watu waende kwenye mikutano yao hivyo nayo ni rushwa tuuu, TAKUKURU wanashindwa nini kuwastopisha CCM kuwatumia WASANII? Maana yote ni rushwa tu.

Tanzania bila CCM inawezekana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio wasanii tuu hata mgombea wa Ccm ana toa hingonza ajira,
Kamuahida Lugola ajira,
Kamuahidi Masele ajira zote hizi ni hongo. TAKUKURU hawazioni jizo wana ona ubwabwa wa Skunda..
 
Takukuru watuachie mgombea wetu mzee rungwe kama wao hawataki wali basi watuachie sisi tunaotaka kula ubeche
 
Kwani wasanii ni rushwa
Hapana, wasanii siyo rushwa bali burudani waitoayo kwa makutano ndo rushwa. Vivyo hivyo kule kwa mzee Rungwe, wapishi siyo rushwa bali ubwabwa utolewao kwa makutano ndo rushwa.
 
Back
Top Bottom