Umegonga penyewe afu kavu kavu, bila kilainishi, ukisikia kelele jua imefika kunako.Wengine wanataka kura za hisani kwa kulazimisha kama wengine walipewa miaka 10, kwanini wao iwe 5?
Hii ndiyo Tanzania
Mlivyo mmiminia risasi kama vile mnamuua simba mla watu hamkujua kuwa zinge muwachia majeraha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika mkuu.mbna ule ni mwanzo tu, watu wa moshi wana ham nae sana maaana kuna mawe yanamsubiri
Hahaaa, acha utani wako. Leo weekend ujueUmegonga penyewe afu kavu kavu, bila kilainishi, ukisikia kelele jua imefika kunako.
Hakika mkuu.View attachment 1559414
Hakika mkuu.sio mbaya kumualika mtu hata kama alikua hajajiandaaa
Labda wanapewa ugali, sio ubwabwaJana PCCB wamepiga marufuku mgombea wa chauma kutumia UBWABWA kwenye kampeini zake.
Mzee Rungwe amekuwa anasema yeye atatumia UBWABWA kwenye kampeni zake kama CCM inavyowatumia wasanii kwenye kampeni zake.
Hapa ndipo maswali mengi yanapo jitokeza kwa wapenda haki hapa nchini. Hapa kuna double standard.
CCM kuwatumia WASANII ni moja ya kuwavuta watu waende kwenye mikutano yao hivyo nayo ni rushwa tuuu, TAKUKURU wanashindwa nini kuwastopisha CCM kuwatumia WASANII? Maana yote ni rushwa tu.
Tanzania bila CCM inawezekana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana PCCB wamepiga marufuku mgombea wa chauma kutumia UBWABWA kwenye kampeini zake.
Mzee Rungwe amekuwa anasema yeye atatumia UBWABWA kwenye kampeni zake kama CCM inavyowatumia wasanii kwenye kampeni zake.
Hapa ndipo maswali mengi yanapo jitokeza kwa wapenda haki hapa nchini. Hapa kuna double standard.
CCM kuwatumia WASANII ni moja ya kuwavuta watu waende kwenye mikutano yao hivyo nayo ni rushwa tuuu, TAKUKURU wanashindwa nini kuwastopisha CCM kuwatumia WASANII? Maana yote ni rushwa tu.
Tanzania bila CCM inawezekana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala hawajosea.
Unaongelea utafiti uliofanywa UVCCM&Associates?Twaweza walimpa ukweli umaarufu wenu umeshuka mkawafungia mpk leo,hahah.unaongelea 2016 we hujui tushafika mwaka wa uchaguzi
View attachment 1559477
Mkuu mbona unatuhamuishaUmegonga penyewe afu kavu kavu, bila kilainishi, ukisikia kelele jua imefika kunako.
Huko kwao UBWABWA na maharage ndiyo makao makuuLabda wanapewa ugali, sio ubwabwa
Na kuuziwa sare, na posho nene!
Relaaaaax bhana lol, [emoji23][emoji23][emoji23]Hahaaa, acha utani wako. Leo weekend ujue
Poleeeeeh na relaaaax bhana.Mkuu mbona unatuhamuisha
[emoji3][emoji3][emoji3] haya mkuu.Relaaaaax bhana lol, [emoji23][emoji23][emoji23]